Tumefungua account nmb tawi la igunga toka mwezi wa tano 2015 (ajira mpya waalimu) mpaka leo wameshindwa kutupa kadi kwa kisingizio mashine mbovu! That is shame
mwanzoni mwa mwaka ilikua 720,000 kwa sasa itakua imepanda kidogo kama laki nane naaa sina hakika.
ni shule yenye mikakati bora ya kufaulisha vijana haswa ukiwa na malengo ya kutoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.