Recent content by gugumaji

  1. gugumaji

    Ana miaka 14, ni lazima Kidato cha Kwanza au QT inatosha?

    Pungu misuko suko ya akili legeza fuvu
  2. gugumaji

    Ana miaka 14, ni lazima Kidato cha Kwanza au QT inatosha?

    Hii ni kitu nawaza sana itakuwaje coz miaka 18 bila taaluma ni useles
  3. gugumaji

    Ana miaka 14, ni lazima Kidato cha Kwanza au QT inatosha?

    Wa kiume amemaliza la saba fresh tu na amepangwa shule maalumu
  4. gugumaji

    Ana miaka 14, ni lazima Kidato cha Kwanza au QT inatosha?

    Ana miaka 14, ni lazima Kidato cha Kwanza au QT inatosha? Naomba mawazo yenu.
  5. gugumaji

    Simba ni mnyama mla ubuyu tu

    Ukiangalia Yanga unagundua hizi timu zinafanana kila kitu inapokuja mpira wa ndani. Ila ukisema ni mashindano ya CAF yule Mzee Kapombe anakuwa Under 20 vile anaupiga kama ndio kapandishwa leo toka timu ya Vijana anagombea namba na Kina Mwenda!
  6. gugumaji

    Haji Manara Zaidi ya,Digiriii

    Kweli ila ina ukakasi kuwachanya kabisa
  7. gugumaji

    Haji Manara Zaidi ya,Digiriii

    Nimecheka kino[emoji2957][emoji16][emoji1787]
  8. gugumaji

    Wazazi ondoeni mtazamo wa kuwa ni lazima vijana wenu wawasaidie

    Upiga mzigo 30k mama ameomba elfu 10 tu uwa inaniuma sana nikiwaza matukio yangu
  9. gugumaji

    Haji Manara Zaidi ya,Digiriii

    Huyu ni msemaji wa Klabu kongwe Tanzania,iliyozaliwa kutoka Kwa Watani zao wa Jadi..kiukweli mimi sijui elimu yake nasema ninachokiona na kuishi Nina mambo mawili au Matatu kumhusu Manara *Wasomi wanaona wivu kwa kipaji chake *Afisa Masoko aliyeshinda wasomi wengi Kuinadi simba hapa wenye...
  10. gugumaji

    Morogoro: Lori la Mafuta lapata ajali na kulipuka, watu 104 Wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa...(Picha zinaogofya)

    Mimi natoa pole kwa familia waliokutwa na Misiba hii tunajua Haijawahi kuzoeleka.Kifo ni kigumu Hakina Maandalizi Apangalo Mola ni Lake. Ila kuna cha kujifunza Kizazi cha Leo Hatuna UADILIFU tunatamani visivyo vyetu Ajali imetokea watu wanaiba Mafuta Badala ya Kuokoa waathirika, Familia kama...
  11. gugumaji

    List Watangazaji wanaopenda Rushwa

    Taja bila kuonea mtu ili tukomeshe hii tabia Tafadhali usimtaje asiye na hatiaikibidi thibitisha tuataka Tanzania safi Nimelenga watangazaji wa,vipindi vya miziki bongo land
  12. gugumaji

    Ili uwe Utajiri lazima uwe na Fitina na Roho Mbaya ndio utende wema?

    Ni kweli Matajiri kama Majizo wa Efm,Kusaga Clouds fm,Mo dewji,Bakhresa na wengineo ambao sijawataja walianza na njia za ubaya kwa kudhulumu haki na hatimaye kufanikiwa?
  13. gugumaji

    Mdogo wangu Jokate, achana na mitandao ya kijamii

    Si ndio njia rahisi ya mawasiliano siku hizi kwa baadhi ya watu wasio na nafasi ya kuangalia Tv na kusikiliza Redio
Back
Top Bottom