Mtu unayemsaidia kodi si unamwona tu anavyojibiidisha? Nakuambia anaamka hata kusaidia kazi yoyote ya kiume hawezi. Hakuna anachofanya. Ni kupoteza tu pesa.
Naona na wewe unafanana na dada yako. Usiumie. Njoo uchukue nafasi yake. Usiteseke na unaonekana una roho nzuri utamsaidia dadayo asiwe anachoka. Mtanga wewe unajilegeza kwangu na dadayo afanyeje sasa? Njoo ukae uchukue nafasi yake.
Naona na wewe unafanana na dada yako. Usiumie. Njoo uchukue nafasi yake. Usiteseke na unaonekana una roho nzuri utamsaidia dadayo asiwe anachoka. Mtanga wewe unajilegeza kwangu na dadayo afanyeje sasa? Njoo ukae uchukue nafasi yake.
Hakuna mwanaume hapo. Hakuna mwanaume anakaa kwa mwanaume mume wa dada yake miaka miwili mpaka anaota kitambi na matako. Na angeendelea ngepeleka posa kwao.
Hayo makonde unayatwangia wapi na umeshalegea kila sehemu? Unakaa kula kulala umeota maziwa na matako... Ungeona ambacho ngekufanya hata kwenu usingesimulia. Ungekuwa ukikumbuka tu machozi yanakutoka.
Dogo anacheck movie, mpira na kucheza game asubuhi hadi usiku. Akila anasubiria binti atoe vyombo. Sifugi chawa . Ningemwoa tu kama dada yake. Kisha anataka itisha kikao nyumbani kwangu. Hii midogo ikukwea makambo aiseee....
Mimi sikutafutiwa dili na sina dili la kumtafutia mtu. Nimsomeshe udereva ana gari? Yaani kwa kulala na kula nikamsomeshe udereva? Hapana. Mtu mzima nimwambie kazi za kufanya aseme namtesa? Aendelee kukaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.