Kusaidia watu sometimes ni kitu kizuri hasa ndugu, na rafiki wa karibu, ila inakua ngumu sana kusaidia kila anayekuomba pesa,kitu au kukopesha kila anayekopa.
Nimekua nakabiliwa na kuombwa pesa mara kwa mara kwa watu mbali mbali, yani karibu kila rafiki nnayekua naye lazima atataka aazimwe...
Habari wana JF,
Naomba ushauri ni teknolojia gani naweza kutumia kwenye biashara yangu, hususani duka, ili kudhibiti uendeshaji na Maputo kiujumla, ikiwa nipo mbali na hiyo biashara siwezi kutembelea mara kwa mara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.