Kwanza nianze kwa kusema mimi ni mwanachama wa Chama Tawala. Hata hivyo muungwana ni vitendo hivyo hongera kwa kura zako kutosha kuwakilisha Watanzania wa Bukoba Mjini.
Nimesoma uzi wako na umenivutia nikaona nichangie kidogo kwani ni mdau wa mkoa huo ingawa sitoki jimbo lako.
Hongera sana kwa...
Hivi hizi jitihada ambazo ameanza nazo kama alivyoahidi kwenye kampeni wakati akinadi sera za chama chake zenye lengo la kukusanya mapato na kubana matumizi yasiyo na lazima/tija, kuzuia ufisadi unaofanya gharama za maisha zipande, watumishi wa umma kuchapa kazi nk bado haujashawishika tu?
Kero...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.