Recent content by grwangobe

  1. G

    Lipumba: Tunaunga mkono maamuzi ya CHADEMA dhidi ya Zitto

    Km unamfahamu vizuri yuda iskariot kitabia huwezi kumtetea zitto kwa vituko vya kwa matakwa ya ccm ndani ya chadema
  2. G

    CHADEMA Kutoa mchumi Roderick Lutembeka, Kumrithi Prof. Tibaijuka

    Wenda mie nikarudi kwetu muleba ili nijiandikishe huko niweze kuchagua mtambo huu.
  3. G

    TEC yamjibu Asha Rose Migiro Kuhusu Kura ya Hapana

    Asante sana baba askofu kwa ushauri wako mzuri
  4. G

    Ndege iliyoanguka usiku wa Kuamkia Leo Mjini Tanga Abiria lakini Wamepona (Wachawi)

    Ilikosea njia ilipita sehemu iliyo imara kwa kusimamiwa na malaika wa bwana
  5. G

    Msiba wa Komba: Kanisa Katoliki Mmejidhalilisha, Mmetufedhehesha

    Duuh watu wengine bhana km hujui kitu kaa kimnya.
  6. G

    Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Makonda ndani ya Power Breakfast Clouds FM

    Ni vigumu kupoteza muda kusikiliza mtu aliyempiga mzee wetu warioba
  7. G

    Rais Kikwete ateua Wakuu wa Wilaya, wengine waenguliwa kutoka kwenye nafasi zao

    Kweli makonda DC ni kichekesho kwa taifa letu na ni fedheha ulimwenguni kote.
  8. G

    Mfanyabiashara amdhulumu mwenzie kwa kumuua na kumzika Ilala Sharrif Shamba!

    Ni ujinga mtupu km mungu hajapanga upate huwezi kupata utaishia na aibu tupu na kuachia kizazi chako mikosi milele.
  9. G

    Swissleaks: Watanzania 99 wameweka kiasi cha $114m Uswizi

    Wote walioimba kodi zetu warudishe.
  10. G

    Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

    Wanayo lakini siyo ya kupeleka bungeni ipitishwe na bunge km mahakama ya kadhi.
  11. G

    Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

    Hata wangu hawawezi kusoma shule za kayumba.
  12. G

    Polisi: Tumezuia maandamano ya CUF kutokana na silaha zilizoibiwa Ikwiriri Rufiji

    Sasa haya majibu ni ya kivuvuzela na kimbulula pia ni aibu kwa jeshi hili utadhani hakuna wasomi
  13. G

    Vurugu bungeni zasababisha Bunge kuahirishwa asubuhi hii

    Duhh hii nchi inaenda wapi?
  14. G

    Mwenyekiti wa CCM Hoston-Texas atiwa hatiani kwa ubadhilifu wa Kodi

    Tusishangae huo ni ukoo wa panya lzm wote wawe wezi.
Back
Top Bottom