Recent content by gromiko

  1. G

    Wabunge kutoka Zanzibar watoka nje ya Bunge wakishinikiza Muungano ujadiliwe

    Hii mbinu inatumika sana hapaTanganyika hata Mwalimu alikua anatumia hii. Mzanzibari yeyote anapotetea hoja ya msingi inayohusu Zanzibar anangaliwa nasaba yake kuwa yeye sio Mzanzibari halisi. Mh Mkuya ameongea jambo la msingi lenye umuhimu. Yupo hapo kwa ajili ya Zanzibar na singinevyo. Ujue...
  2. G

    Lowassa ni mzee na anastahili kutunzwa na wanawe. RC Makonda na Fatuma wanakosea kumdai matunzo

    Kwa mawazo yangu huru utaratibu mzima sio sahihi na umejaa mashaka. Tatizo kubwa watanzania wengi uwezo wetu wa kufikiri ni karibu ya zero. Na hii ni pamoja na wenye elimu pia. Vyuo vyetu vya elimu vinatia shaka uwezo wake wakuelimisha. Matokeo ni kudanganywa na kuibiwa na wana siasa bila...
  3. G

    Wabunge kutoka Zanzibar watoka nje ya Bunge wakishinikiza Muungano ujadiliwe

    Umenifurhisha. Kweli watanganyika uwezo wa kufiiri uko ndani ya sanduku. Hautoki zaidiya humo ndani. unataka kutwambia nchi zote zilizojitenga kutoka soviet ni mahaini, yugoslavia na nyengine za mashariki ya ulaya ni mahaini. Nakuomba ujifunze kufikiri vizuri.
  4. G

    Wabunge kutoka Zanzibar watoka nje ya Bunge wakishinikiza Muungano ujadiliwe

    Kuwandoa Wazanzibari ili Wazanzibara washike madaraka. Pitia "Democratisation Process in Zanzibar: A Retarded Transition"
  5. G

    Wabunge kutoka Zanzibar watoka nje ya Bunge wakishinikiza Muungano ujadiliwe

    Kero kubwa tu Wazanzibari wamechoka. Chaguzi zote zaonyesha viashirio
  6. G

    Katibu Mkuu CUF Maalim Seif apasua Anga akireje Unguja kwa vishindo kwa ziara nyengine

    Tukubali kuwa wakati umepita. Niwajibu wetu tubadilike, na siasa za mapanga na marungu kuwa zimeshapitwa na wakati. Sisi ni watu wamoja na shabaha yetu ni moja. Tunataka watu wetu wawe na maisha mazuri pamoja na utulivu.
  7. G

    PICHA: Maalim Seif Shariff Hamad apokewa kifalme Kisiwani Pemba

    Sizani kama wazanzibari wana mapenzi sana na mwalim Seif. Wazanzibari wamekomaa kisiasa na ni magwiji wa siasa hapa Tanzania. wanao uwezo wa kukisimamia wanachokiamini. Nimiaka mingi tangu mwaka 1957 kwenye chaguzi. Wanajua kuwa vyama vingi sio uadui. Chama cha upinzani ni muhimu na ni mbadala...
  8. G

    Serikali mnaijua bei ya kununua teknolojia ya kutengeneza madawa?

    Kweli gharama, lakini unapotosha. Huhitaji kununua technology kwa kutengeneza generic drugs. Na ndio maana zikaitwa generic. Kwa mfano Paracetamol, Infusion zote na nyingi nyenginezo zinazoagizwa kutoka india na Kenya. Zenyekufikia karibu asilimia 70
  9. G

    Rais Magufuli kupokea magari 181 ya kusambazia dawa nchini

    Dawa hazitakiwi ziongezeke tu, bali dawa zote zinazohitajika kituoni zinatakiwa ziwepo. Mgonjwa hatakiwi kufa hospitali. Inakuwa aibu zaidi mgonjwa anapokufa haspitali kwa kukosa Panadol.
  10. G

    Rais Magufuli kupokea magari 181 ya kusambazia dawa nchini

    Ndugu hiyo serikali inafanya mambo yake kama wao wanavyoona sahihi, lakini mara nyengine wanakuwa hawako sahihi. Mimi sio muumini ninaekubali mawazo ya serikali kufanya biashara. Biashara zifanywe na wananchi. Serikali isimamie, itoe mingozo, ikusanye kodi. Naamini serikali imejingiza kwenye...
  11. G

    Rais Magufuli kupokea magari 181 ya kusambazia dawa nchini

    Ndugu hivi ni vitu vidogo. Wazanzibari wanatakiwa wadai mambo makubwa na yenye umuhimu, kama mungano na aina gani ya mungano, katiba mpya ambayo italinda maslahi ya wazanzibari na Zanzibar. Kuhusu gari za kusambazia dawa. gari nne kwa Zanzibar zinatosha na kuchukua siku tano kuweza kumaliza...
  12. G

    Rais Magufuli kupokea magari 181 ya kusambazia dawa nchini

    Tatizo la MSD ni kutokuwa na dawa na vifaa, ambalo hutokana na upatikanaji wa pesa kidogo na kuchelewa
  13. G

    Rais Magufuli amrudishia Ubalozi Prof. Costa Mahalu baada ya kushinda kesi ya uhujumu uchumi

    Kuwepo Wazanzibari wengi kwenye kile kitengo. Ulikuwa ni mpango malum ambao Mzee Ruksa aliuubuni kwa mazumuni ya kuhakikisha wazanzibari wengi wapate elimu zao za juu kwenye nchi za ulaya magharibi na marekani ( ilionekana wazanzibari wengi walikuwa wanaishia mlimani na nchi za kijamaa) na kwa...
  14. G

    Uingereza yaitaka Tanzania kupinga kitendo cha Urusi kutumia kemikali za sumu

    Hizi ni propaganda za kuwapaka tope warusi. Inawezekana kabisa waingereza au marafiki zao ndio waliompa sumu Sergei na binti wake. Kama warusi walihitajikumua mbona waliwahi kumkamata na kumshitaki, siwangemhukumu kifo wakamaliza nae. Kuna watu na jumuia zinataka kuona vita kati ya neto na...
  15. G

    Mahakama ya Afrika Mashariki yaiondoa kwa muda kesi ya Uhalali wa Muungano

    " None but ourselves can free our own minds" - BM
Back
Top Bottom