Hospitali ya Aga Khan wanataka kutoza Shilingi 6,000,000/= kwa huduma za kujifungua kwa njia ya upasuaji wakati Hospitali nyingine zenye hadhi sawa ya rufaa ya Kanda wanatoza kiasi cha Shilingi 230,000/= huku bei ya juu katika baadhi ya Hospitali ikijumlisha na huduma ziada hutoza kiasi cha...
Mnajizima data eeh kuwa bila NHIF hakuna vituo hasa vya binafsi vyote vinategemea mapato nhif na ndio maana mnaipiga vita nhif kwa kusimamia taratibu zake.
Waacheni wafanye kazi yao
Taratibu kwenye huduma lazima zifuatwe bila kujali ulipo naamini hao NHIF wana njia nyingi za mawasiliano na sio lazima kwenda usichafue taasisi kwa uzembe wako kufuata maagizo
Mbona hueleweki sasa na maelezo yako marefu haya? Kosa la NHIF hapo ni lipi? Hakuna Hospitali inayoweza kudharau NHIF usitudanganye, hakuna Hospitali inayoweza kujiendesha kwa wagonjwa wa cash, kama una bifu na NHIF weka wazi usituchoshe sisi
Acheni roho mbaya na NHIF, lazima tukubali kuwa Mfuko huu umefanya kazi kubwa sana kuna marefu ya wagonjwa wako huko hospitalini na matibabu yao ni ya maisha yote na NHIF inalipa.
Leo kuboresha usajili wa toto ndio Mfuko umekuwa mbaya kiasi cha kuwafanya Watanzania wote wajiite maskini?
Watu...
Ukipoteza kadi kuna utaratibu wake mfano unapopoteza kadi ya banki mbona hauji hapa kulalamika ebu tuacheni njia za mkato tufuateni utaratibu uliowekwa, NHIF ni taasisi kama ilivyo nyingine
Uhakiki
Uhakiki sio suala gani hapa nchini Taasisi nyingi zimekuwa zikifanya uhakiki katika maeneo yake hivyo kama hauna tatizo kwa nini uje kulalamika hapa?
Kwani ni NHIF pekee yake ndio inajikopesha? Au mna agenda binafsi, nendeni Kwingine pia muone mikopo inavyotolewa na mikopo hiyo mbona ina riba? Au hilo hamlioni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.