JamiiForums Tanzania
Supavaiza
Jamaa mgeni kabisa kaajiriwa kwenye
kampuni;
SUPAVAIZA: Mheshimiwa unaitwa nani?
JAMAA: Naitwa John.
SUPAVAIZA: John nani? Unajua jambo ambalo
nimeligundua ni kuwa watu mkianza kuitana
majina ya kwanza mnazoeana na kazi
inakuwa haiendi. Mi sio rafiki yako mi ni
Supavaiza wako, kwa hiyo...