Recent content by Grenade

  1. Grenade

    Kusinyaa kwa korodani, nini tiba yake

    Mkuu MziziMkavu iyo dawa yako inafanya na recovery ya kusinyaa kwa kengele? dah nachukizwa na hii hali, msaada
  2. Grenade

    Kusinyaa kwa korodani, nini tiba yake

    Wapi naweza mpata docta wa ukweli wa hizi mambo?
  3. Grenade

    Kusinyaa kwa korodani, nini tiba yake

    Erection imepungua mkuu, nahisi naelekea kwenye upungufu wa nguvu za kiume, unanisaidiaje apo?
  4. Grenade

    Kusinyaa kwa korodani, nini tiba yake

    Habarini wakuu, kuna yoyote anaweza nifafanulia tiba ya tatizo tajwa apo juu? korodani zangu pamoja na uume vimeshrink sana, hii pengine ilisababishwa na punyeto niliyokua napiga kipindi icho. kiukweli now nimeacha na ngependa kujua how to recover!
  5. Grenade

    Machizi bana

    Sa iv watakua wanashangilia "mia" "mia" mia "mia" .......
  6. Grenade

    Supavaiza

    Jamaa mgeni kabisa kaajiriwa kwenye kampuni; SUPAVAIZA: Mheshimiwa unaitwa nani? JAMAA: Naitwa John. SUPAVAIZA: John nani? Unajua jambo ambalo nimeligundua ni kuwa watu mkianza kuitana majina ya kwanza mnazoeana na kazi inakuwa haiendi. Mi sio rafiki yako mi ni Supavaiza wako, kwa hiyo...
  7. Grenade

    NENO kwa wana CHIT CHAT wote

    Ndaga fijo..!!
  8. Grenade

    Je unakumbuka vibano na adhabu za shuleni??

    Mkuu Babkey ulisoma Lugalo?? mwaka gani mkuu?
  9. Grenade

    Breakin News "wamegandana"

    Magnetic effect
  10. Grenade

    Kama ni wewe ungefanyaje?

    Asalalaaah..!
  11. Grenade

    elizabeth dominic nateseka sana juu yako

    Khaah!! kazi ipo leo
Back
Top Bottom