Na kuongezea tu. Hela za bando wamewapa watumishi ..? Swali lingine wakumbusheni kuwa kuna watumishi wamehama kutoka halimashauri moja kwenda nyingine huku mishahara yao haijaweza kuhamishwa mpaka sasa hivi. Hao nao wasipo jisajili kwenye huu mfumo mtawakata mshahara wao. .? Hili taifa...
Wanaibaje hawa wasio ajiriwa. Wezi ni hao wasomi wazamani ndio mafisadi wqkubwa kuanzia wabunge, mpka wasimamizi wa miradi yote. Vijana hawa husiki usiwasingizie
Aliokua anawateua wana sifa..? Wale aliowapa udc urc nk mafia wenzake. Ana watumbua afu bado anawalipa.🤣🤣🤣🤣 Magu alijuq kucheza na saikolojia ya watz wachini maana anajua maskn tuna penda kusikia tajiri anapata shida. Bila kujihurumia kuwa sisi ndio tutakao umia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.