Wadau ninahitaji ngano au shairi iliyovunwa haraka iwezekanavyo. Kiwango ni Tani 30 kwa kuanzia.
Iwe ngano au shairi safi na nzuri yenye kukidhi viwango vya kimataifa.
Isiwe imetobolewa na wadudu au imeharibika kwani itamwagwa yote na kupakiwa upya ili kukaguliwa kabla ya muuzaji kuuza. Kwahiyo...
Ni kweli kabisa kwamba kilimo cha greenhouse sio rahisi hata kidogo, nimeshasema kwenye huu uzi mara nyingi sana na kwenye TV pia, na wale wote waliokuja kuonana na mimi watashuhudia haya. Kama ukitembelea website yetu utaona majibu niliyotoa kuhusu urahisi na ugumu wa ukulima wa namna hii...
Baba D,
1/8 of an acre niliyozungumza hapo sio 120 square meter ni ukubwa wa drip lines ambazo ningesupply katika material ya ujenzi wa Greenhouse ya 8*15, yaani yangetosha kumwagilia ndani ya gh na nje kwa mita za mraba zisizopungua 380. Hivyo kucover 1/8th of an acre. Nadhani umenielewa sasa...
Brand New Giorgio Armani Aviator shades for sale:-
Price is 500,000 Tshs
Comes with original box, case, soft pocket and instruction manual.
Call 0714881500.
Location:- Dar es salaam.
Whatsapp for images.
Hivi ndio pacman alivyopigwa. Tuache ushabiki bila kuangalia ukweli.
Mayweather amepiga ngumi nyingi sana za wazi usoni mwa pacman, pacman amepiga ngumi nyingi mwilini kwa mwenzie, japo mayweather hakupiga power punch za kuweza kumuangamiza pacman lakini nyingi zimetua sehemu ambayo...
Weka olive oil matone mawili kila siku asubuhi na jioni. Ukiweka kwa wiki mbili tatizo litaisha. Au nenda pharmacy nunua Sweet Oil wela matone mawili. Unapoweka mafuta hakikisha yameingia mpaka ndani kabisa ya sikio.
Angalizo: yanatekenya
Jamani tunatofautiana sana matumizi ya magari, vipato na safari kwa wiki.
Naomba tu niconfirm matumizi ya mafuta ya gari hii. Ukiweka elfu 20 taa inawaka na ukifanya mchezo gari itazima. Haitaki mafuta ya vituo vinavyochakachua kwahiyo hakikisha unaweka engen, total, bp au oilcom tena za maeneo...
*****GARI IMESHAUZWA*****
Toyota Progress ya mwaka 2001 inauzwa shilingi Million 6 tu.
Automatic
2500 cc
Imeshatembea 78500Km tu
Ipo nchini tangu 2010
Bado iko katika hali nzuri sana, engine na kila kitu kipo intact.
*****GARI IMESHAUZWA******
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.