GreenHouse
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 280
- 262
hizo gari zinalamba wese kama jini wa kimanga
Hizi GARI mafuta ni shidaaaa
hizo gari zinalamba wese kama jini wa kimanga
Lisemwalo lipo, kama halipo litakuja.
Bora nibakie na kibaby walker changu, tutakutana fuel station.
Nimetumia hiyo GARI wese lake n heri tu ukatumia Prado!!!!
CC 2500 si mchezo!!!
Duh! Prado afadhali???
Hii kali!!
Santa kwa taarifa.... Mi nna aleji na vituo vya mafuta.Yaani wese linavyokatwa heri utumie Prado tu ufaidi na specs zingine ujue moja kuliko kutembelea sedan kwa hasara hiyo!!!
Ukitaka kujua gharama ya wese nunua progress hata efficiently haiko poa!!!
Santa kwa taarifa.... Mi nna aleji na vituo vya mafuta.
Hizi gari labda km ni mtu wa trip ila km kwa mjini ni mtihani.
Maana inakula mpk 5.5km/litre km prado za 2.7trj yaani bora hata kluger ya 2.4 vvti inakula 6.7-7 kwa town km full time unatumia AC
Hzo gari zote nimezitumia na hayo nimeyaona dhahiri.
Yeah... nikiweka wese la 50k nazunguka wiki nzima. Nasevu mihela kibao ya bia.Ha ha ha kwahiyo unatumia baby walker sio?