Wewe jamaa ndio huelew, mwenzako kacheza karata kali sana hapo kama ww2 tuu alikuwa kimya kaz yake kuuza silaha na chakula, ona sasa hiv jins kamsogezea russia mfupa ukrain anabanana nao, yy anauza silaha ametulia kwake, middle east yeye katulia anauza silaha soon utasikia china kabanana na...
Kitu ambacho mnajidanganya ni hiki: Russia hana mkono wowote kwenye hili, kwanza elewa policies za wenzetu sio kama Africa, kama kipaombele kilichoko ni kutoa siliha ukrain hata aingie mrusi kuongoza uk hamna namna itabadilika pale sio Africa kila rais anaingia na mambo yake
Achana nae huyo ana mahaba na Russia ya ajab tuu, najiuliza kwamba hiivi kipindi marekan akiwa anapiga iraq ama nchi yeyote ingeteka jiji mojawapo pale USA ndio na USA ingetulia hiiv kuwa inasikilizia upepo??🤣🤣🤣
Pale ndio nilijua hata malaw bado umempa cheo yaan siku ile Wagner asingedanganywa na belarus Putin alikuwa ashakimbia Moscow ndio nilijua russia hamna kitu RT walikuwa wapoleeee🤣🤣🤣
USA always akili kubwa mkuu, bases zake kila mahali alikuwa hachez ngoma yaan kila adui wa USA alifanikiwa jiran yake kumtengeneza kuwa adui, N.Korea jua S.Korea yuko pale kumzibiti na msaasa wa west, Russia kashatengenezewa, Sweden, Ukrain, Lativia etc woote wanaomzunguka kasoro belarusi tuu...
Mkuu ukiona bomber kama hio inapigana na vikundi vya watoto WA kigaid jua uncle Sam hajatoa Silaha, tambua taifa lisilo na maonesho ya Silaha ndio hili, hata during WW2 the world was shocked na nuke Hakuna aliejua wanayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.