Recent content by Great Bro

  1. G

    Lipo wapi tatizo kwenye Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Tafakari!

    Yeah wana baraza lao la mitihani (BMZ) na Waziri wao kivyao.
  2. G

    Lipo wapi tatizo kwenye Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Tafakari!

    Great point! Sisi wanyonge ndio tunaumia aseh. Itafikia hatua Rais wa Jamhuri atakuwa anapokelewa Zanzibar kama balozi maana ikulu ipo moja. Na pengine akienda Zanzibar huwa anafikia hotelini.
  3. G

    Lipo wapi tatizo kwenye Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Tafakari!

    It has been a tradition to relish the festival and celebrate the founders of our Union Mwalimu Nyerere and Abeid Karume to parades. However, it has been a sin, too dangerous for anyone to question or want to critique this Union. My purpose here is not to question the history or legitimacy of...
  4. G

    Msaada waheshimiwa nataka kuongea na Mo Dewji angalau dakika tano uso kwa uso au kwenye simu.

    Nadhani kama kila mtu angekuwa anamuuliza mwenzake hili swali tusingekuwa na wawekezaji pia.
  5. G

    Msaada waheshimiwa nataka kuongea na Mo Dewji angalau dakika tano uso kwa uso au kwenye simu.

    Hapana mkuu sina hata wazo la kuomba kazi au kumpiga kizinga kama ulivyosema. Nina nia njema kabisa na labda inaweza kutusaidia pande zote na kutoa fursa zaidi kwa vijana wengine. Ubarikiwe sana.
  6. G

    Msaada waheshimiwa nataka kuongea na Mo Dewji angalau dakika tano uso kwa uso au kwenye simu.

    Hii ni ya kazini mkuu hata haitumii. Ningependa kupata namba yake au email binafsi. Asante sana
  7. G

    Msaada waheshimiwa nataka kuongea na Mo Dewji angalau dakika tano uso kwa uso au kwenye simu.

    Habari za leo wakuu, nina ombi la kukutana na Mo Dewji ila sijui nianzie wapi. Social media accounts zake sina uhakika kama anapata hata muda wa kusoma comment au dm. Mwenye kujua namna ya kufanya mawasiliano yake nitashukuru sana. Nipo serious wakuu, sio kumteka maana najua mawazo ya wengi hapa..
Back
Top Bottom