Recent content by GRAYSON PATRICK

  1. G

    Ulizia hapa kuhusu Shule uliyo chaguliwa 2014/2015

    Kwa waliochaguliwa Ndanda wasiwe na wasiwasi shule ni nzuri, maji na umeme vipo muda wote chakula kizuri walimu wapo masuala ya afya kuna hospital karibu. Karibuni sana
  2. G

    Ushauri PCM

    Asante sana umenisaidia kwa kiasi kikubwa mno
  3. G

    Kwa anayejua jinsi wanavyochagua

    Acha uzembe ww nenda advance uhamisho unawezekana bila refaree naibu wazir wa elimu mulugo alisema uhamisho kwa kesi kama yako kama unataka kubadil comb na kwenye shule waliokuchagua haipo unaweza kuhama cha msingi wasiliana na mkuu wa shule uliochaguliwa na ambayo utataka kwenda mbona jamaa...
  4. G

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Kama unatafuta credit moja ni sawa haitakusumbua sana we kama una credit ya chemistry na geography fanya urisit masomo matano biology,kiswahil,civics,english na hstry il uweze kuokota credt yyote kwa sabab sheria ya baraza mwanafunzi awe na credit tatu alaf awe amefaulu masomo mawili kwenye comb...
  5. G

    MSAADA! Shinyanga sec a.k.a shy bush

    We kakomae tu kambi n popote kaka
  6. G

    Ushauri PCM

    vipi kuhusu chandy sababu nimeshanunua chandy.
  7. G

    Ushauri PCM

    asante kaka ngoja mie nkakomae.
  8. G

    Ushauri PCM

    asante kwa ushauri wako wa kutia moyo na hamasa
  9. G

    Ushauri PCM

    asante sana kwa ushauri wako
  10. G

    Ushauri PCM

    asante kwa ushauri wako mzuri
  11. G

    Ushauri PCM

    asante sana kaka
  12. G

    Kwa wale mliochaguliwa NDANDA BOYS HIGH SCHOOL

    Jaman ndgu zangu wa ndanda tusaidiane aliyepata joining instruction tuwasiliane kwa cm no 0754748431
  13. G

    Ushauri PCM

    Habari zenu wana jf najua humu kuna watu waliosoma pcm na wanaoifahamu pcm mnaweza kunisaidia kunishauri jinsi ya kuimudu hii combination
  14. G

    Makiba high school

    N rafki yangu ndo wamempanga hko co mimi ila tuko naye khama kama vp chkua namba zangu utantxt nmpe jamaa n 0754748431
Back
Top Bottom