Kwa waliochaguliwa Ndanda wasiwe na wasiwasi shule ni nzuri, maji na umeme vipo muda wote chakula kizuri walimu wapo masuala ya afya kuna hospital karibu.
Karibuni sana
Acha uzembe ww nenda advance uhamisho unawezekana bila refaree naibu wazir wa elimu mulugo alisema uhamisho kwa kesi kama yako kama unataka kubadil comb na kwenye shule waliokuchagua haipo unaweza kuhama cha msingi wasiliana na mkuu wa shule uliochaguliwa na ambayo utataka kwenda mbona jamaa...
Kama unatafuta credit moja ni sawa haitakusumbua sana we kama una credit ya chemistry na geography fanya urisit masomo matano biology,kiswahil,civics,english na hstry il uweze kuokota credt yyote kwa sabab sheria ya baraza mwanafunzi awe na credit tatu alaf awe amefaulu masomo mawili kwenye comb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.