poor kigwangala. heri tu kwa mama kikwete ukalelewe. nimembuka siku moja ulipoongea kwenye bmk ujinga na upumbavu wa kila aina ukiponda takwimu zilizokusanywa na tume ya jaji warioba ili kuhalalisha uchakachuaji wa rasimu ya pili ya katiba. of course ulishangiliwa na kina ole sendeka na asha...
waliokuwa wakurugenzi wa bandari na tanesco na wapambe wao tayari wako kisutu kujibu tuhuma za ufisadi. kwa spirit hiyohiyo, rugemarila, ana tibaijuka, werema pamoja na washirika wengine wanaotajwa wote wawajibike. na kikwete asikenue meno yake hovyohovyo kwenye jambo hili.
Kweli ujenzi wa mnara wa babeli (katiba) tayari unawaumbua ccm. Bunge la tatu kusimamia serikali ipi? Hivi watatumia njia gani kumwomba radhi warioba na tume yake kwa matusi yote waliyomtukana? Au kikwete atakuja tena anachekacheka kama hayawani aanzishe uongo mpya?
wakuondoka na jk ni wengi mno. muhongo, umi mwalim, maghembe, nyalandu, nkamia nk. bila kusahau zaidi ya nusu ya waliozawadiwa u-rc, dc na ubalozi. Wangelijua hili, leo wangeanza kutenda kazi vizuri kujaribu kumvutia rais ajaye. Maana jk ndo anaondoka hivyo.
ccm hawako tayari kujadili rasimu ya warioba kwa sababu:- kwanza, kama inavyojulikana wazi, maslahi ya mafisadi na wahafidhina ndani ya ccm yanatishiwa mno na rasimu hiyo; pili, kwao ni rahisi kuchakachua matokeo ya kura za maoni, hivyo ni salama kwao katiba itakayopendekezwa na bunge iwe ya...
halafu kuna tatizo linaloongezeka kila siku la matumizi mabaya ya 'h' kwa maneno yanayoanza nayo na au 'vowels', mfano badala ya kuandika "ajali hiyo ilitokea siku ya sikukuu ya Idi" mwandishi anaandika "hajali iyo hilitokea siku ya sikukuu ya Hidi".
shule binafsi ni biashara kama biashara nyingine. na ndiyo maana karo zao ziko juu sana. kuchangisha wazazi kwa ajili ya miundo mbinu ya shule ni wizi kabisa. ni sawa na mwenye duka aje kuwachangisha wateja hela ya kujenga frame, kujaza bidhaa dukani na ya kulipia walinzi, halafu mwisho wa siku...
yeye anazipenda na kuzifurahia kweli. kwani hamwoni yeye na wapambe wake wanavyokomaa na kumwita 'dk. kikwete' wakati msingi wake ni usanii tu kama wa hizi tuzo zisizojulikana. siku si nyingi mkewe naye atatunikiwa doctorate ya heshima kwa kuwa tu ni mke wa 'dk. kikwete'.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.