Wakuu Naombeni ufahamu, fundi kaniwekea milango aina ya mkongo, baada ya wiki mbili imepasuka kama picha inavyoonyesha, naomba kujua tatizo ni nini na nitairekebishaje.
Wakuu tatizo ni nini hasa, mwili unaniwasha, nimeenda hospitalini nikachukua full blood picture mara mbili na hakuna kilichoonekana, baada ya hapo nikapimwa Alergies na kuambiwa nina Allegy kidogo, vipimo vikaonyesha (S-IMMUNOGLOBULIN E 102.0 KU/L H 0.0 -100.0, Mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.