Mifano Iko wazi taasisi za elimu kama IAA, PMI tayari wana kozi za masters za mwaka mmoja. Pia kumbuka regulations ya undergraduates na postgraduates mandate ipo kwa TCU lakini ukiwapigia simu watolee maelezo wanalikwepa hili swala.
Habari Members !
Kumekuwa na changamoto ya Baadhi ya vyuo vikuu/Taasisi za elimu kuendesha programu zao za Uzamili(Masters) pasipo Uwazi uliopo baina ya Vyuo vikuu vya Tanzania/baadhi Taasisi husika za elimu na TCU umekaa kimya.
1. Baadhi ya vyuo vikuu/Taasisi za elimu kuendesha masters...
Habari members
Je, serikali imeanza kuzitambua masters by thesis kweny mfumo mpya wa HCMIS?
Naleta kwenu Maada, Kwa kigezo Cha serikali kwenda principle ni lazima usome relevant course?
Je, ni Bora kusoma specialized masters amby relevant na first degree/ kusoma broader masters kwa kuongeza...
"Mwanafunzi yeyote wa Zanzibar hana sababu ya msingi ya kukosa mkopo wa elimu ya juu kama ana vigezo kwasababu mwanafunzi Mzanzibar una nafasi mbili za kuomba mkopo, unaweza kuomba mkopo Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu Zanzibar (ZHELB) au Bodi Ya Mikopo Elimu Ya Juu Tanzania (HESLB) kote...
Hii nchi ngumu sana
Ajiraportal ni kwa Watanzania (Watanganyika na Wazanzibar)
ila
ZanAjira ni kwa Wazanzibar.
NINI FAIDA YA HUU MUUNGANO KWA WATANGANYIKA.
Napenda kukutanisha watumishi wa umma mbalimbali na maafisa wanao tumia huu mfumo katika majukumu mbalimbali kupeana hints, maswali na majibu ili kuweza kujiweka mazingira mazuri.
SWALI: Mwenye ufahamu je huu mfumo ushaanza kutomoa masters degree za by thesis (research only ambazo hazina...
Vigezo vipo viwili tuu
1. Kuomba kufanya SEAP 3 years zen ripoti zako zihakikiwe mwisho usajiliwe
2. Unstructured: Hii kwa mtu alieajiliwa anaweza kuandika ripoti mradi mmoja zen ikipitishwa unakuwa registered.
N.B: vyote hpo juu ili ufanikishe lzm uwe GE kwanza
Unaweza kuongezea kweny...
Vigezo vipo viwili tuu
1. Kuomba kufanya SEAP 3 years zen ripoti zako zihakikiwe mwisho usajiliwe
2. Unstructured: Hii kwa mtu alieajiliwa anaweza kuandika ripoti mradi mmoja zen ikipitishwa unakuwa registered.
N.B: vyote hpo juu ili ufanikishe lzm uwe GE kwanza
Kuadd value katika my career hasa mbeleni kuwin competition mahala pa kazi hasa ikitokea fursa zaid miongon mwa employees kuwa promoted na kupata managerial positions.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.