haki ya mwenyezi Mungu, Uislamu na Waislamu sometimes ni Nouma, ninyi ni ndugu zetu lakini wakati mwingine hamjiulizi cha kufanya ila mnataka vitokee tuu kama Mana kule jangwani kipindi cha Nabii Musa na wana wa Israeli. Hakuna kitu ya namna hiyo Mungu alisema asiyefanya kazi basi asile, Shika...
Lakini ilisemekana kwamba alimchukua mkewe wakaenda Picnic ziwani na akamtosa mkewe majini na kudai kaanguka bahati mbaya kama naikumbuka vizuri hadithi hii after that ndio ikabainika aliua kwa sababu alimkatia mkewe life insurance ambayo angepata mamilioni ya dollars kwa kifo chake.... Pesa...
Binti akijiuza mwanaume akamnunua hawa wawili wote wako sokoni, huwezi ukapata shida kidogo ukakimbilia umalaya, vipi ukianza kazina mshara ukaumaliza tarehe kumi hizi ishirini utajiuza kusubiria salary?...... Hela haikutoka ya siku sitini ilitoka ya siku ambazo ilipaswa kutoka, tusizoee kusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.