Wa kulaumiwa ni serikali na polisi.
Nilimshangaa igp sijui ikizugumzia ajali ya bodaboda na mwendokasi eti bodaboda alipita wakati taa hazimfuhusu bila kuwa mwangalifu wakati hakutakiwa kupita.
Hawa ataendelea kufa au kulemaa kwa uzembe wao na polisi.
Mbona Zanzibar wameweza?
Ni kweli kabisa. Hili tatizo lipo. Kabla ya kusaini inabidi mstari wa kufunga uwekwe halafu nisaini. Kama NHIF mnashirikiana katika Hili, naomba Serikali iingilie kati si kubaki mnalalamika tu kwamba matumizi yamekuwa mkubwa wakati mnaacha mianya ya wizi ikiendelea.
Nssf zamani walikuwa...
SI kwamba serikali iwazuie, ila walazimishwe kufuata sheria za barabarani. Kuto kufuata sheria ndiko kunaleta ajari nyingi na kusababisha vifo na walemavu wengi.
Mbona Zanzibar wanafuata sheria?
Mbona NSSF siku zote tuliambiwa kuchagua hospitali moja tu katika eneo unaloishi utakako tibiwa, na tuliendelea hivyo unless unakiwa referred hospitali nyingine na haijawa tatizo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.