Yes umemaliza yote kaka! My daughter is 9 month now and she is duin fine! Huko leba tu unakuta wamewasha mafeni ya Juu na AC wanakuwashia ukitaka. Na wanakwambia acha mtoto apate upepo. Na hao ni madaktari see ! Hvyo tusikariri mambo ya zaman zaman kukaririshwa vitu. Asthma, pneumonia...
Habari zenu jamani. Natafuta Binti wa kazi, Eneo ni Dar es salaam (Mbweni) ! Binti awe na uwezo wa kusoma na kuandika, umri kuanzia miaka 18. Kazi ni ya kuish hukuhuku na nyumba haina watoto. Mshahara maelewano.
0692917101 (call or whatsap tu)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.