Recent content by Gowima

  1. Gowima

    Sofa za kisasa

    Bei imeshuka hadi 350k wadauuu![emoji2301][emoji2301][emoji2301]
  2. Gowima

    INAUZWA Sofa za kijanja inauzwa

    A year
  3. Gowima

    INAUZWA Sofa za kijanja inauzwa

    Ha ha haa! Hizi za kuidownload kweny Google eeh? Ndo upate kwa 350k? Hizo bila 5M kuendelea juu huambui kitu, unless uende keko wakupe copy. Kimsingi hizo picha zako ni masofa yanayouzwa kule litemate furniture. Kuna mizigo hadi ya 18 M. Go and purchase ndugu if you can[emoji23][emoji23]
  4. Gowima

    INAUZWA Sofa za kijanja inauzwa

    Daah unaua boss, ongeza 50 iwe mia tatu uchukue mzigo
  5. Gowima

    INAUZWA Sofa za kijanja inauzwa

    Bei: Tsh 350,000/= Location: Kongowe, Mbagala Simu: 0785753780/0764124429
  6. Gowima

    Rais Magufuli, baada ya uhakiki wa wastaafu Aprili, waongeze Pension walau iwe KCC

    Jamani kama kuna mtu aliwahi kujitoa nssf (withdraw) anielekeze process. Maana nimefuatilia mpaka maji nimeita "mma"
  7. Gowima

    Mfumo wa ajira unaotumika umefeli kutokana na sababu zifuatazo

    Tatizo jingine lililojitokeza ni kwamba, kuna baadhi ya majina ukidownload kwenye cm hayaonekani. Lakin kwenye computer yanaonekana. Kuna ndugu yangu jina lake ni Jeremiah kwenye simu ukidownload waliochaguliwa jina lake halipo. Lakin ukiingia kwenye computer linatokea. Hii itawapoteza wengi...
  8. Gowima

    Tuliosoma bachelor Bachelor of Arts in Geography and Environmental Studies

    Aisee ajira huwa zinatangazwa mara nyingi tuu kwenye mashirika yanayodeal na issues za mazingira, download app ya "ajiraleo" huwa kuna ajira zinatangazwa ndugu. Lakin ujiandae kisaikolojia maana kutangazwa kazi haimaanishi ndio ishakuwa yako, hata ukiitwa kwenye interview, fanya vizuri uwezavyo...
  9. Gowima

    Kwanini vijana tusijitolee kulingana na Ujuzi tulio nao?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mim kuna shule nilienda kupeleka application. Nikakutana na bango kwa secretary "HAKUNA NAFASI ZA KUJITOLEA KUFUNDISHA" Just imagine, yaaan hata kujitolea tuu for free hawatakiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa tujitolee kufagia barabara na...
  10. Gowima

    R.I.P brighter monday gone too soon? Tunalipi la kujifunza kwa kifo chake?

    Well, mimi napenda zaidi kampuni ambazo zina website zao zinazodirect watu kuomba ajira. Unaingia, unajaza details zako unasubmit, Hawa middle men hawa nao ni wapigaji tuu. Mi sina hela, natafuta kazi af bado nikulipe wewe unitafutie kazi?? Mhh! Tutafute wote tu sasa kwa kweli, maana hakuna...
  11. Gowima

    Sofa za kisasa

    Bei: 450,000/= (bargain) Simu: 0785753780 Location: Kongowe, Mbagala (DSM)
  12. Gowima

    GE2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

    Ha ha haaa! Kwani Robert amefanya kosa gani? Yule ni wakili tuu kama mawakili wengine, anachofanya ni kutetea na kusimamia haki za mteja wake [emoji2375] Sijawah kuona akilazimisha watu wamchague Lissu. Anachosisitiza ni uchaguzi huru na wenye haki, polisi kuacha upendeleo kwa CCM, kutoa nafasi...
  13. Gowima

    Furniture zinauzwa

    Uko wapiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona mzigo unasafiri huu! Hela yako tuu
  14. Gowima

    Furniture zinauzwa

    Mzigo unapatikana kongowe ya mbagala! Ni sofa nzuri kabisa za watu 7. Muundo wa kisasa kabisa. Bei ni 450,000/= Piga namba 0785753780
Back
Top Bottom