Wadau habari za mida,
Nimekuwa nafuatilia sana kuhusu elimu ya uwekezaji kwa muda sasa kuhusu stock au hisa, hatifungani na mifuko ya uwekezaji ya pamojai ila sasa naomba niongelee hisa haswa za CRDB Bank, NMB NICOL, TCC na DSE zenyewe.
Hii kasi ya upandaji wa soko la hisa zikiwepo hizo...
Hivi wewe unatujibu unatuchukuliaje unazani hatuna ela acha kujibu mavi wewe bora ukae kimya nisije anza kujibizana nawewe unazani sisi tumeanza kuwekeza jana au hatuna financial literacy education hata elimu ya hisa tunayo toka siku nyingi sana umeambiwa nani anataka gauze hisa akalipe bili bar...
Mimi mwenye Orbit nataka nimuhame niamie Solomon ndio naambiwa ana afazali kidogo ila Orbit hapana sishauri mtuu maana hata siku moja kwa sasa kuhusu hisa na hii trends ya CRDB naona wanatukwamisha hatari na hata iweje hawajibu wala kupokea simu na pia application ya DSE inasumbua huku hisa...
Wadau habarini za muda huu kuna tatizo gani mbona ni wiki 2 inaisha tunashindwa kununua Hisa za CRDB nimewasilina na DSE na broker Mara zaidi ya 5 wanasema shida ni kwenye market hivyo wataalamu wa uchumi na Hisa naombeni msaada wenu je vipi kuhusu Hisa za DSE nazo zinagawio kama za CRDB.Maana...
#HABARI Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Deus Sangu ametangaza kuanza kutumika kwa Muundo mpya wa Utumishi wa Maendeleo ya kada za Uuguzi na Ukunga ifikapo mwezi Julai mwaka huu.
Sangu ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Aprili 10, 2025 Mkoani...
Wadau poleni sana na majukumu naomba kuuliza hivi kwa mnaojua na wenye exposure za kusafiri mara kwa mara kwenda nchi za wenzetu kama Kenya ,Rwanda,Dubai, UK, France nk
Nimeulizia nikasikia sio yellow fever vaccine tuu wanakagua hadi Hepatitis b nayo kwa miaka hii ni muhimu haswa ukiwa umetokea...
Veta ninakubali kabisa ila broo ajira kwangu sio tatizo wala sipendi mambo marahisi nimekaa kazini miaka 7 na zaidi ila sema nimeulizia sehemu nzuri kama zenye posho na promotion nzuri
Niko kazini japo ninajiendeleza sana kazi nimefanya miaka 7 sio nataka mabadiliko ya haraka mimi nimvumilivu sana sema nataka changamoto sehemu nyingine nzurii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.