Hizo kero unaonaje ukaenda kuzitoa kwenye Jumuiya yako {Mwenyekiti wa Jumuiya wakiwa na wana_Jumuiya wengine}
Tumia busara ili kuiponya nafsi yako,mwili usikupe kiburi
Unahitaji muda wa ziada kufundishwa ila ili ufundishwe uwe tayari kufundishika.....
2 wathesalonike : 2
15 Basi, ndugu, simameni imara, mkayashike mapokeo mliyofundishwa, ama kwa maneno, ama kwa waraka wetu.
Duuuuh......
Jitazame upya ndugu,nina uhakika wewe ndio hujui Maandiko Matakatifu tena zaidi ni wale wa kuchukua kipande cha Mstari (mstari mmoja na kusema mnainjilisha🙊🙊🙉🙉)
Hao hawakufikiri mbali hasa kwenye uhalisia,Rais amesema sawa lakini ukweli ni kwamba taratibu za mazishi kati ya WAISLAMU NA WAKRISTO ni tofauti ndio maana MUFTI/SHEKHE huwa wanaingia ndani (kwenye kaburi) wakati wa kuzika
Nina Imani huwa hauhudhurii mazishi ya Kikristo, ndugu,
Mwili huwa unawekwa kwenye SANDUKU hivyo kipindi mwili unaingizwa KABURINI ndani ya KABURI HUWA HAKUNA MTU bali watu hutumia kamba kushusha SANDUKU NDANI YA KABURI
WAISLAMU wakifika Kaburini huwa wanautoa mwili kwenye Jeneza/sanduku na...
Padre aingie kwenye Kaburi kufanya nini.......
Mada inasema juu ya Mufti kuingia Kaburini wakati wa Kuzika....
Kama kuna sala ama taratibu zozote za kimazishi zitakazomtaka Padre ama Askofu kuingia Kaburini wakati wa kuzika basi atafanya hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.