Stand ya magari ya mikoani inapaswa kuwa moja hivyo ndivyo nchi zingine zinafanya pia, airport ya Dar es Salaam inapaswa kuwa moja hivyo ndivyo hata nchi zingine zinafanya, station inapaswa kuwa moja pia kwa mkoa wa Dar es Salaam. Kuwa na stendi nyingi ni kuendesha usafiri kienyeji. Kipindi hiki...
Huu ni ukweli kwa asilimia zote 100%. Ukiendekeza maisha ya kuruka ruka, unajichimbia kaburi la kiuchumi na kiafya mapema sana. Unateketeza pesa kwenye mahandaki yasiyo na tija. Pesa za kuhonga, gesti, pombe, na kuhudumia michepuko zingeweza kuwa mitaji ya biashara au uwekezaji wa baadae...
Wakuu salamu,
Leo naomba tujiambie ukweli mchungu ambao wengi watauchukia, lakini ndio ukweli halisi. Kama wewe ni mwanaume au mwanamke unayeendekeza uzinzi na ngono zembe, sahau kabisa habari ya kufanikiwa kimaisha kwa njia halali ya jasho lako.
Ukiona mtu ni mzinzi wa kutupwa na bado ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.