Unaweza ukaona kama una akili nyingi ukadhani huhitaji msaada wa Yesu.
Unaweza ukaona una pesa nyingi sana hivyo ukadhani humhitaji Yesu.
Maswali je unayo furaha ya kutosha, unayo amani ya kutosha? Unao upendo wa kutosha? Je unao uvumilivu na ustahimilivu wa kutosha?
Unamhitaji Yesu ndugu...
Naomba contradiction ulio iona hapa:
contradiction kibao zimejaa kule yaan Genesis 1 and 2 contradicts each other.
Na hapa hujaelewa wapi?
Njoo kwenye stori za kina Nuhu ni hamna ukweli na ushahidi wowote zaidi ya stori tu.
IPO SIKU KIU YAKO YA ANASA ITAISHA, ILA UTAKUWA UMECHELEWA
Andiko kuu: Luka 15:11–24
Andiko la kutafakari: Mhubiri 12:1
Kuna wakati mwanadamu anaweza kuona maisha kama hayana mwisho. Ana nguvu, ana muda, ana marafiki, ana fedha au ana matumaini ya kupata fedha. Anaweza kutamani starehe, sifa...
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe pekee ili kila amwamie asipotee bali awe na uzima wa milele. Yesu yupo malangoni pako siku ya leo, tubu dhambi zako na mpokee Yesu ili upate uzima. Maana baada ya kifo ni hukumu. Huu ndio muda wa kutubu.
Usitoroke kaa hapohapo mwombe Mungu katika jina la Yesu. Tafuta sehemu zungumza na Mungu tubu dhambi zako zote makosa yako yote uliyokosa. Mweleze shida yako yote Mungu katika jina la Yesu. Kisha mwombe akutoe hofu yote. Baada ya hapo mwombe akufungulie milango mbalimbali ya pesa na afunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.