Recent content by Gosbert Makanzo

  1. G

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Watanzania kiukweli tuntia haibu utashangaa hasubuhi vijiwe vyote vinazungumzia usajili wa Okwi sio siri hatujajitambua
  2. G

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Nampongeza Nape kakiri wagombea wake wameshinda kwa rushwa na mizengwe, hongera kwa kuwa mkweli angalao mara moja kwa mwaka
  3. G

    JamiiForums Tanzania Kagera: Kilichonifurahisha jana ni wagombea 3 wa CCM kujiuzulu asubuhi

    SINDIKA mpaka kyona kigwe!
  4. G

    JamiiForums Tanzania Hahahahaaa hahahahaaa Pinda bwana!

    Msanii, muigizaji anjua anchokifanya
  5. G

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Hakuna malaika,wote pua zimeangalia chini,maridhiano nakusamehana ndo mpango mzim pamoja tutashinda.
  6. G

    JamiiForums Tanzania Tamko la Jukwaa la Kikristo kuhusu Mchakato wa Katiba

    hivi mzee 6 na wenzake wanajali haya? tusubili tuone, maana sikio la kufa....
  7. G

    JamiiForums Tanzania Bunge Maalumu la Katiba laendelea kukusanya maoni!

    du,mzee 6 tunaomba maoni yetu yazingatiwe,sisi wenye baa tunazuiwa kufungua mchana eti ni wakati wa kazi kwani cc hiyo si ndio kazi yetu? iwekwe kwenye sura ya 10.
  8. G

    JamiiForums Tanzania Tangaza na JF, Mahali Jamii inapokutana

    Karibu kiwanja safi kujivinjari karibu na Legder Plaza zamaniBahari Beach Hotel, vyumba bya kisasa upepa mwanana bei mpaka vya 20000 vipo pamoja na b/f.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Picha za Kigali,Rwanda.Watanzania tuna cha kujifunza sana kuhusu usafi wa mazingira

    tatizo waochafua miji wanajifanya wakereketwa vyama, wenye mamlaka wamezipata kwa ukereketwa nn kitafanyika.Turudie mfumo wetu wa chama kimoja labda itakuwa dawa
Back
Top Bottom