Recent content by Goro

  1. G

    Hii ndio Kaizirege

    Naamini kwa bio yako wewe ni JF Expert na ni hali hivyo una maarifa kuliko mimi, basi kwahilo naomba utafute tovuti ya Kaizirege na Feza nawe utapata majibu. Sincerely mwana Feza wa zamani
  2. G

    Hii ndio Kaizirege

    Hizo picha za mwanzo ni Feza Boys ya pale Tegeta na siyo Kaizarage, naona kuna wimbi la watu wa huyu jamaa wanaotaka kupotosha umma kwa kulaghai wananchi na matumizi ya picha za Feza. "Research before you post".
  3. G

    samsung note 2 N8000(tablet) inahtajika..

    Hii ni zile note ndogo
  4. G

    samsung note 2 N8000(tablet) inahtajika..

    Note 2 ipo kwa 800,000 mkuu..... ni mpya na accesories zote 0685 660 670
  5. G

    Samsung Galaxy ADVANCE mpya kabisaa 550,000

    Naam kama Title inavyosema Simu ni mpya na ipo katika hali nzuri kabisa.. Ni PM au 0712859798
  6. G

    Blackberry 8520 inauzwa

    NDIO WADAU BLACKBERRY 8520 INAUZWA FOR TSH 150,000/= wenye kuhitaji wanicheki through 0719636959 if not reachable please leave me a msg na ntakucheki
  7. G

    Blackberry 9900 inauzwa!!!

    chukua 450,000 mkuu
  8. G

    Natafuta SAMSUNG SIII

    Salaam zenu wadau, ngependa kujua kama kuna uwezekano wa kupata hii samsung s3 kwa bei nafuu na wala sichagui rangi...mnaweza kuni PM au 0712859798 Ahsanteni kwa ushirikiano
  9. G

    Natafuta samsung galaxy s II,s III na htc jetstream

    Na mimi pia wakuu ningependa kujua mwenye kuuza hizo samsung s3 anicheki kwenye 0712859798
Back
Top Bottom