Nimemwambia hivi, yeye pia ni mwenye dhambi. Lakini dhambi yake au zake zinaweza kuwa zingine tu ila ushoga hakuna. Sasa, atajisikiaje nikimuita shoga badala ya mwenye dhambi?
Hujabold kwenye mashoga.
Hivi nnaposema wewe ni mtenda dhambi na mwingine akaja kukuita wewe shoga, yupi utaona kazingua?
Sababu unaweza kuwa na dhambi ila sio ya ushoga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.