hivi jamani naomba niulize kidogo kwani kule Tandahimba alikoshinda mgombea wa CHADEMA kuna wachaga wengi kuliko makabila mengine?maana mara chama cha wachaga mara ukanda,mi nafikiri chuki mnazopandikiza hazina mantiki
hiyo dawa ya kuwafanya watu wasiojielewa wabadilike,kama aliichagua ccm akikuomba hela kwamba hali mbaya unamwambia hapa kazi tu,na hata jirani yangu akiomba chumvi namwambia utaisoma namba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.