Hawa Jamaa ni matapeli sana.. Mm nmepigia hapa smu namwambia nataka kuja ofisni kwenu niko Msamvu morogoro nyir mko wapi anasema eti samakisamaki... NIkacheka sana akakata simu
+255 760 226 165 hii ni moja ya namba yao.. na hawa jamaa wameshaliza watu wengi sana tuweni makini nao jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.