Msaada, samahani wana JF kama unaandika barua ya kuomba nafasi zilizotangazwa na chuo kikuu, mfano unaomba nafasi ya uhasibu katika XYZ university, barua utakayoandika utatakiwa kumuaddress HR ama Principal wa chuo?
Kuuliza si ujinga. Asante
Uko sahihi ila nlkuwa naomba usafiri private kwa anaetoka shy to moshi kaka haikuwa hela ya nauli.. ila hadi kukoment pia mi naichukulia ni kam umejali sana, maan ungeweza kuwa kmy.. asante kaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.