Nauza pikipiki yangu, sinoray cc 180, full document, niko Moshi KCMC mikoani nakutumia kwa uwaminifu mkubwa sana.
Namba yangu 0672901144.. bei 1Milioni
Nilinunua kwa mtu ikiwa mbovu kwa gharama nafuu kisha nikaimodify, yaan kuiunda kwa kla ktu unachokiona apo, ili tu inivutie kwa matumiz yangu, lkn leo nmekwama na nataka hela hivyo kimfaacho mtu chake, ila ukiwa na kadi hatakama haukokuwa na jina lako maan yake wew ndie mmiliki halali wa...
Binadamu tunakwazwa kwa maneno ya kejeri, nakuhakikishia nitajaribu kuwa mnyenyekevu kwani changamoto ya pesa ndio imenifanya niuze chombo changu.. tufanye yote ila umaskini ni mbaya sana
Labda ni kweli!, ila kuna wakati ni vizuri kuulizia bidhaa kwa undani zaidi ili kupata maelezo ya kina kabla ya kuinunua boss, npo tayari kwa kujibu maswali yao!
Sawaa asante kwa funzo, mm sikuwa nafanya biashara ya kununua ili kuuza, nauza pikipiki yangu ndio maan nashndwa kujua miiko ya biashara.. ila nashukuru sana kwa funzo, asante. Zaidi nsaidie hata kuntaftia mteja ndugu kwani nina changamoto ya pesa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.