Recent content by Good News

  1. G

    Wasipomdhibiti kwenye chama chake, watanzania tutamdhibiti

    Umeshindwa kumdhibiti 2015, 2020 ndio utaweza?? Ndoto zingine bana!!!
  2. G

    Malawi yahisi kupelelezwa na Tanzania kama inatengeneza silaha za nyuklia, yakamata ma-spy

    (suspicious divices such as heavy camera)....seriously???
  3. G

    Magari 50 ya wagonjwa yote kupelekwa kanda ya ziwa, hii imekaaje?

    Bas Basi wangezikataa zipelekwe kanda ya ziwa.
  4. G

    Magari 50 ya wagonjwa yote kupelekwa kanda ya ziwa, hii imekaaje?

    Mkuu rejea boda boda mia mbili zote zilipelekwa kanda gani?
  5. G

    Magari 50 ya wagonjwa yote kupelekwa kanda ya ziwa, hii imekaaje?

    Arusha ni kanda ya ziwa mkuu...
  6. G

    Oil Tanker loses Control and Crushes into 5 cars before Exploding in Naivasha, 40 feared Dead

    Magaidi wana mbinu nyingi sana ndugu yangu. Poleni sana, Mungu awatie nguvu.
  7. G

    Kauli hatari za ubaguzi Star Tv leo asubuhi

    Mkuu hata jina la Magufuli tu hulioni kama ni la kisukuma tena mna ng'weli, eti leo mtu aitewe Mosha then nisimame niseme huyu jamaa anaweza asiwe mchaga. Zitakua zimepishana kidogo kichwani.
  8. G

    Ukabila, ukanda ulivyoitesa Tanzania katika uchaguzi mkuu 2015

    Mkuu nilijua ushatoka gizani!!!!
  9. G

    Ukabila, ukanda ulivyoitesa Tanzania katika uchaguzi mkuu 2015

    Ikuku Ikulu iliyokuwa inaongozwa na mtu toka kanda ya ziwa (Nyerere Julius).
  10. G

    Ukabila, ukanda ulivyoitesa Tanzania katika uchaguzi mkuu 2015

    Kama alivyosema mleta uzi inaonekana na wewe baba yako anakulea tu ila sio mtoto wake..
  11. G

    Ukabila, ukanda ulivyoitesa Tanzania katika uchaguzi mkuu 2015

    Avh Acha kupotosha watu, madini yanamchango mkubwa sana kwa wakazi wa kanda ya ziwa kuliko unavyoshani wewe, usiwe inaandika kwa kuhisi njoo huku ujionee.
  12. G

    Ukabila, ukanda ulivyoitesa Tanzania katika uchaguzi mkuu 2015

    Unazungu Unazungunzia habari za miaka ya 1960.. People change with time my friend.
  13. G

    Ukabila, ukanda ulivyoitesa Tanzania katika uchaguzi mkuu 2015

    Kama ni madini migodi yote mikubwa Tanzania ipo kanda ya ziwa (GGM, NORTH MARA, BUZWAGI, BULYANHULU, STAMIGOLD-TULAWAKA, MWADUI DIAMOND MINE.. I think you are under estimating the power of lake zone. Nenda kafanye utafiti upya.
Back
Top Bottom