Nakumbuka tulipokua tumeingia tu mjini yaan bado washambaaa basi tulienda sherehe moja pale upanga na mama mmoja alipiga mkwara eti yeye anafanya kazi ikulu ivyo ile meza hataki mtu anataka kaa peke yake na mdada mmoja aliedai ni bodi gadi wake
Baadae miaka ya mbele uko tulimkuta anauza pub...
Ndo namshangaa uyu mzee sisi kwa sisi ni tajiri wa miaka mingi ana mashamba ya miti huko njombe makubwaaa.ata apo mjini kajenga sana tuu sema apo kwenye iyo Lodge ya sisi kwa sisi ndo maarufu sababu ata simba na yanga hufikia hapo
Huuwahujui wakinga wewe funga mdomo
Ni maridhiano gani unafanya na watu mbao wengine hawaoni ndugu zao toka Oct 29??hawajui kama wamekufa na ata kama wamekufa miili yao haionekani??imagine ile Oct 29 mtu alitoka zake kwenda kibaruani but mpaka leo hajarudi hakuna mrejesho wowote.Kuna maridhiano kweli hapo??Damu za wale watu...
Ndo mana ile tarehe 28/12 walipoahirisha safari za SGR wakatupangia kesho yake kwakweli nilienda zangu kupanda Shabiby.Tuliingiwa sana hofu hasa baada ya ile tren ya iliyoondoka mida ya saa mbili usiku haikufika mbali ikarudi.
Yaan tulijiambia aya mambo ya kulazimisha vitu uhai ni bora kuliko...
Yaan kweli mjini kama kinondoni watu wanatembea KM 10 kutafuta maji??niliangalia jana nikaingiwa hasira hasa baada ya kuona waheshimiwa wameenda na migari ya kifahari kwenyemsiba pale dodoma jana.
Huku wananchi wao wanaoga kwa mgao maji hamna
Pumbavu kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.