Unamjudge kakobe unaacha kuangalia nn kasema,kaongelea anguko la ccm ambalo kama unaakili timamu ushaliona,mtafaruko ndani ya ccm hamjauona kila mtu anataka urais,escrow na serikali za mitaa ni isharatosha ya ujumbe wa Mungu kupitia kwa askofu kakobe..
Kama co ma dictator nn kilichomkuta ulimboka,mwangosi,watu walio amishiwa mabwepande..na zaidi ya yote katiba imepitishwaje?Watanzania tuamkeni kwasasa tunamkumbuka sana nyerere hata kama alikuwa dictator ila alitaka manufaa kwa taifa na tukumbuke hata yy akuwa malaika..na angekuwepo mpaka leo...
Nikweli hatujui ulimboka kilicho mkuta?wezi wanakumbatiwa..baada ya miaka 20 mawazili wote watakuwa wanajua kusoma na kuandika tuu,je hii ndo katiba mnayo wanayo itaka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.