Mimi hapo nimeelewa kuwa; wapo watumishi wengi wa Mungu ambao kutokana na fedha au misaada wanayopokea hushindwa kukemea maovu kwa wale wanaotoa fedha au misaada hiyo.Na hasa linapokuja suala la Mheshimiwa fulani kafanya dhambi au uovu midomo ya watumishi wa Mungu wengi huwa kimya na kumfariji...
Hujui unaongea nini wewe! Kwani Kakobe ni Mtumishi wa Mungu wa kwanza kuinyoshea serikali kidole pale inapokosea?! Watumishi wangapi wamekwisha ipigiza serikali! Kakobe kama raia wa Tz ana haki na uhuru wa kuongea pale anapoona watu wananyimwa haki zao.Vile vile kama Mtumishi wa Mungu...
Bila shaka wanatimiza agizo (MATH 28:19-20). Kwa hiyo wewe ndani ya gari wakikuwekea Bongo fleva, Taarabu na Bolingo ndio moyo wako unasuuzika na kuona raha!Hata hivyo unaonekana hauko mbali na wokovu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.