Recent content by goncon

  1. G

    Je, Michango Shule za Sekondari iko Palepale?

    Unamchokoza mtoto WA Mzee WA busara akienda kusema KWA babake itabidi umtafute JUMA nature akusaidie!
  2. G

    Ni wakati wa kumfahamu mmiliki halisi wa mashine za EFD

    Ahamie na kusini msimu huh WA korosho mbona ataifuta bodi yote maana huko kunatia heshima KWA utorishwaji WA mapato usiku kucha
  3. G

    Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Nimejikuta tu napenda mwandiko wako!
  4. G

    January Makamba naamini amepata cha kujifunza

    Tukirudi tuna TULIA!
  5. G

    Hivi washauri wa Ridhiwani Kikwete ni akina nani?

    Hata kama faiza foxy ni IS member kapitiliza kumtaja Yesu in prostitution wakati hata yeye mwenyewe atahukumiwa na kama hakitatimia mpaka Arudi na amshuhudie either akiwa hai au mfu atamkiri KWA ulimi wake. Like or not unabii huo utatimia!
  6. G

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Yani yule Dada Wa cemot ananiboa kuliko twaweza Saccos yeye kila kitu kiko poa hata akiulizwa BBC mbona kimara hawajapiga kura anasema ni jambo dogo tume ishashugulikia
  7. G

    Ushauri: Vyama vya Upinzani vifutwe, kibaki CCM pekee kama chama dola

    Sitaki kuamini ntaanza kulipia fiesta ambayo sikwenda kuangalia mbaya zaidi walewale waliomuahidi babu yangu maji na maisha bora wanagonga cheers ikulu aaargh nimewaza tu KWA sauti!!!!
  8. G

    Hongera Watanzania kwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura

    Me too! Lowasa cjapiga kura ila natumaini utaniongoza vizuri. Next time tutatumia computer kupiga kokote ulipo am praying for that! Wish to go back Mzumbe to vote!
  9. G

    Natangaza kura yangu wazi kuelekea tarehe 25/10/2015

    Mwenye ratiba ya trh 25 anikumbushe nianze kuangalia Picha ya wazazi wodini au juisi ya ukwaju ili nikachague vizuri?
  10. G

    NEC tusaidieni kujibu hoja za wananchi

    Heshima yako KWA kunichekesha KWA sauti! Kumbe hapo ni hesabu tu basi ongeza 205 ili ukalindie ndani kabisa tusiibiwe!
  11. G

    Hivi haiwezekani kuchimba mfereji kutoka Bahari ya Hindi hadi bwawa la Mtera au Kidatu?

    Kuna upepo makambako ni noma hatuhitaji kidatu wala mtera but dili za watu ziendelee hakuna namna acha tupigwe tu na MGAO!
  12. G

    Deo Filikunjombe, Capt Slaa ni sababu nyingine ya kwanini sitaichagua CCM kabisa

    Usijali rada itanunuliwa Sykes nyingine ikizama Mkuu
  13. G

    Ni akina nani wenye mpango wa kumhujumu Magufuli?

    Kabla hajaenda ICU alinitumia email kunishauri jinsi ya kusaidia wafanyabiashara nchini
  14. G

    Vifo vya wanasiasa kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 2015

    Jinsi tunavyoumia sasa ndivyo ndugu zetu albino walikua wanaumia ikifika uchaguzi
  15. G

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Afadhali manake dah sio Deo jamani he is mpiganaji ccm mavazi tu
Back
Top Bottom