Yaani kama ni kweli ni wajinga na wanazidi kuwachukiza wananchi hata mimi hainiingii akilini kama ni line repair ni matengenezo gani yanafanywa usiku na alifajiri ukiamka huukuti umeme. Yaani kuna ombwe kubwa la uongozi hapa tanzania ni aibu kubwa sana. Yaani kila kukicha bora ya jana. Nilikuwa...
Jamani mimi nasema kwa expirience mfuko huu ni mbaya sana. Unazungusha sana wateja wake unakera ni balaa. Kama kuna mtu ndio anaajiriwa ajifikirie mara mbili kujiunga na huu mfuko. Hapa arusha kuna mzee mmoja alistaafu kwa ugonjwa hadi leo hajalipwa haki yake anazungushwa na pia anaambiwa...
Jamani Same na Mwanga msituangushe. Hakuna kumchagua tena mbunge kupitia CCM. Wabunge wa hiki chama kwa Same na Mwanga hawafai. Tulidanganywa kuwa kuna mradi wa maji ikawa danganya toto. Sasa niwakati wa kufanya mabadiliko chagua chadema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.