Recent content by gomora

  1. G

    Anguko la CHADEMA lipo njiani

    Pike Lee, kwa ni democrasia ni utovu wa nidhamu na kuhujumu chama? au na wewe ni masalia? nenda ukachukue ujira wako pale lumumba umemaliza kazi waliyokutuma
  2. G

    TAARIFA ya kuvuliwa uanachama CHADEMA kwa Juliana Shonza(M/Kiti), Mtela Mwampamba na Habibu Mchange

    soma extract ya vifungu vya katiba ya CDM hapo juu.
  3. G

    Heri ya mwaka mpya 2013! Nawashukuru, Nawaomba radhi!

    bado tutaendelea kuamini kauli na matendo yake with reservtation.
  4. G

    Heri ya mwaka mpya 2013! Nawashukuru, Nawaomba radhi!

    Hii apology ya ZZK ni mind game-playing. Anataka aonyeshe ameji distance na Masalia wenzake ili wanatoa ujinga wao yeye ZZK aonekane tangu mwanzo alikuwa hashiriki. Pia, ukiangalia comments za mwanza mwa thread hii utaona watu wake (masalia) walivyokuwa wamejipanga kum support. Hii ilipangwa...
  5. G

    Heri ya mwaka mpya 2013! Nawashukuru, Nawaomba radhi!

    bw. Zitto. Nitakusamehe kwa makosa ya kibinadamu. SITAKUSAMEHE kwa MAKOSA YA MAKUSUDI. Ulianzisha na kuratibu kundi la SANGOMA MASALIA. Hili SIYO kosa la kibinadamu. Happy New Year JF.
  6. G

    Deogratius Kisandu wa BAVICHA ajiuzulu uanachama CHADEMA

    masalia a.k.a sangoma a.k.a vigagula a.k.a PM7 a.k.a virusi vya zzk vita scaniwa vyote. no stone (virusi) will remain untouched in CDM.
  7. G

    Majibu ya Zitto juu ya shutma za kuhujumu CHADEMA

    Wana jamvi, Ben Saanane and E. Mamuya wametoa maelezo yao (allegations) kuhusu jinsi Zitto Kabwe (mb) na wengine (Juliana Shonza, H. Mchange, M. Mwampamba, Gwakisa, E. Sanga, Dr. Kitila Mkumbo) wamekuwa wakidhoofisha CDM. Katika utetezi wa Zitto Kabwe (ZZK au ‘mzee wa nduba’), Juliana Shonza...
  8. G

    Majibu ya Zitto juu ya shutma za kuhujumu CHADEMA

    Wana jamvi, Ben Saanane and E. Mamuya wametoa maelezo yao (allegations) kuhusu jinsi Zitto Kabwe (mb) na wengine (Juliana Shonza, H. Mchange, M. Mwampamba, Gwakisa, E. Sanga, Dr. Kitila Mkumbo) wamekuwa wakidhoofisha CDM. Katika utetezi wa Zitto Kabwe (ZZK au ‘mzee wa nduba’), Juliana Shonza...
  9. G

    Sumu ya Saanene - swali kwa MASALIA a.k.a PM-7

    Wana jamvi, Ben Saanane and E. Mamuya wametoa maelezo yao (allegations) kuhusu jinsi Zitto Kabwe (mb) na wengine (Juliana Shonza, H. Mchange, M. Mwampamba, Gwakisa, E. Sanga, Dr. Kitila Mkumbo) wamekuwa wakidhoofisha CDM. Katika utetezi wa baadhi yao [Zitto Kabwe (ZZK), J. Shonza, na H. Mchange)...
  10. G

    Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

    Ni wakati wa mabadiliko kama kitila alivyosema. Nakumbuka sana hata Kitila alikuwa anamtetea sana zzk pale ud-kiswahili. Niliwahi kumuuliza kwa nini zzk huwa anazumzia kugombea urais kila cdm inapokuwa na issue muhimu? mfn pale arumeru m. ni kutaka ku shift attention? Leo nimeona kitila...
Back
Top Bottom