Recent content by gomasony

  1. gomasony

    KIDATO CHA NNE KULIPIA CHETI NI SAHIHI?

    Ser Hahahhahahahahaha
  2. gomasony

    KIDATO CHA NNE KULIPIA CHETI NI SAHIHI?

    Kama hiyo shule ni ya serikali mchango wa cheti aio halali na una haki ya kutaarifu mamlaka husika yani wilaya au wizara Swala la remedial na Project ilitakiwa wazazi mkubaliane kwenye kikao kama hakikufanyika kikao hio ni kinyume cha utaratibu pia unatakiwa kuripo.
  3. gomasony

    Naomba kujuzwa maisha ya sperm & ovum baada ya ejaculation na ovulation.

    Hakuna sperm X au Sperm y ndugu, Kuna sperm cell, ndani ya ndio kuna taarifa mbalimbali ambazo moja wapo ni Sex Chromosomes (X na Y).
  4. gomasony

    Naomba kujuzwa maisha ya sperm & ovum baada ya ejaculation na ovulation.

    Study mbalimbali zimefanyika na kugundua Sperm cell(mbegu za kiume) zikiwa ndani ya via vya mwanamke inaweza kuishi hadi siku 5, kwa sababu mazingira ya ukeni yanavirutubisho vya kuisaidia kuishi mda huo. Egg cell (Mayai ya kike) ina uhai wa masaa 24 baada ya ovulation.
  5. gomasony

    Nimetuma maombi ya kazi kimakosa

    Kwani amekwambia hajui kuwa amekosea, Kama huwezi toa msaada nyamaza si lazima kila kitu ujibu
  6. gomasony

    Nimetuma maombi ya kazi kimakosa

    Ndugu, pole sana. Natoka church, nkifika home ntaingia kwenye mfumo huo mnaoutumia niangalie kama ntaweza kukusaidia Usishangazwe na maneno ya walimwengu hawajui mateso wanayopitia watu wasio na ajira mitaani. Pole sana, ngajitahidi kwa kila hali kukusaidia
  7. gomasony

    Nimetuma maombi ya kazi kimakosa

    Ndugu, kama unasoma na kuelewa. Utaona muomba msaada hakuwa na vifaa kwa ajili ya kukamilisha maombi, ndio maana akaenda internet cafe. Kama angekuwa hajui tumia computer asingeweza jua kama sasa vyeti viliyokuwa kwenye mfumo si vya kwake.
  8. gomasony

    Nimetuma maombi ya kazi kimakosa

    Unajua alikumbwa na lipi mpaka akaomba msaada wa mtu wa internet amsaidie . Ww hujawahi kosea katika mambo yako, au kisa umekuja jf unataka uonekane mjuaji ?
  9. gomasony

    Jiunge nami kusema hapana kwa udhalilishaji na ubaguzi anaoufanya mmliki wa clock tower café Iringa

    kuna watu hapa tanzania wanajiona kama wao ndio wao, hii si mara ya kwanza Nchi ytu lakini bafo tunyanyasike, pole kak ngoda tuko pamoja huyu awe mfano
  10. gomasony

    Unazitukana hospitali za Magufuli halafu ukiumwa unakimbilia hapo hapo?

    Watanzanka sijui tunakosea wapi, Kwani kuhoji ni kosa jamani , Huu ushaniki wa vyama hauna maana mimi si mwanachama wa chadema ila Kwenye swala la huduma za afya bado ni tatzo , mpaka sasa miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru unaenda kwenye kituo cha afya 1. hawana hata panado kwel ? 2...
Back
Top Bottom