Kenya Rais Ruto kasalimu amekubali mswada urudi bungeni,hapa Tanzania tupo Kama maiti wafanyabiashara wanachezewa na mwenyekiti wao Massawe na chalamila badala ya wabunge kuiwajibisha serikali.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kenya Rais Ruto kasalimu amekubali mswada urudi bungeni,hapa Tanzania tupo Kama maiti wafanyabiashara wanachezewa na mwenyekiti wao Massawe na chalamila badala ya wabunge kuiwajibisha serikali.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kenya Rais Ruto kasalimu amekubali mswada urudi bungeni,hapa Tanzania tupo Kama maiti wafanyabiashara wanachezewa na mwenyekiti wao Massawe na chalamila badala ya wabunge kuiwajibisha serikali.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kenya Rais Ruto kasalimu amekubali mswada urudi bungeni,hapa Tanzania tupo Kama maiti wafanyabiashara wanachezewa na mwenyekiti wao Massawe na chalamila badala ya wabunge kuiwajibisha serikali.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii Ni dhahiri nchi imeshauzwa na wahuni,na Mama wa taifa ndo kiongozi wao kuipiga mnada hii nchi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unahangaika kuandika Nani atasoma na kujali kwa watawala wa CCM na serikali yao. Hapa wakijitahidi wataendelea kutumia vyombo vyote kudhibiti wapinzani hasa chadema ili wasiipe tabu CCM,Mambo ya uchungu na Tanzania unayajua wewe yerrico
Kwamba Jomoo Kenyatta aliwahi kusema Nyerere anaongoza maiti, maana yake watanzania hawajitambui ndo Mana makonda anapiga simu mbele za wananchi kuwahadaa nao wanashangilia,Usaniii mtupu
Hivi Paschal Rais magufuli alipomuita mwenye njaaa kwa maana ya jinq lake hakudanganya. Leo unaandika haya maupuuzi wakati unajua CCM chama chako japo hunufaiki nacho hawapo tayari kwa mabadiriko ya Katiba Mpya na bora kwa maslahi ya nchi. Unamsifiaga Zitto kwa sababu unajua Zitto si mpinzani...
CCM ukiwa kijana huwezi kugombea ukapita wanataka majizi yalioibia nchi ndo yagombee ili yahongee wajumbe mapesa. Ni hatari sana CCM kuwepo Tanzania japo wanatumia majeshi yetu kujibakiza madarakani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.