Recent content by goldenson

  1. G

    JamiiForums Tanzania THE FALL OF CHADEMA - Vyombo vya habari vimeanza kususia Siasa za CHADEMA, Jiulizeni!

    Nasi tunakuona ww mpuuzi acha kuingilia mambo ambayo unazan watu watakuona ww una hekima kumbe ndo ----- wacha wasuse km wamehongwa hiyo haiwez kuzuia harakati daima haki itadaiwa iwe kwa machozi jasho au damu!
  2. G

    JamiiForums Tanzania Ni kipi kinawapa ujeuri wabunge wa CHADEMA?

    Hii sio jeuri bali ni kujiamin kusema ukweli na wala sio uwoga walionao wabunge wengi waccm tatizo hapa ni nani anaesimamia haki na wajibu wake ipasavyo ujue kuw kiongoz mkubwa haitoshi kumfany mtu awe na busara tena mm wazee wananiudhi xana wao wajifanya wana maadili kumbe ndo wa kwanza...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Lukuvi aita hela ya Tanzania hela ya madafu Bungeni ashindwa kujitetea

    Mi naona wanajaribu kutafuta kile nachozan ni kuhadaa watu coz kusaport kaul ambayo mtu kashndwa kuitolea maelezo ni unafik na yote hiyo ni kuwafany watz mbumbu ati wakiona wanapiga makofi watajua kuna jambo la maana bac hapana budi kumpongeza alielitenda.nafikri mwisho wa hay yote utafika 7b ht...
  4. G

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Jeshi la Polisi wamjibu Joyce Kiria kuhusu madai yake kwamba wamwambie alipo mume wake

    Msemaji wa polisi ameonyesha udhaifu ktk kauli ya kumtaja mtuhumiwa km mwalifu ivi yy ndiye mahakama ni lazma huy mm ajue aliko mme wake ili aweze kufany taratib nyngn za kisheria ikiwemo kumdhamin km itawezekana xaxa nawashangien wale mazuzu mnaounga mkono kauli ya msemaji wa polisi ht...
  5. G

    JamiiForums Tanzania Majukumu ya JWTZ (TPDF)

    Jamii lazma itambue waz ukwel kuhs mustakabal wa nchi yetu kwan naona viongoz wetu wamegeuka kuw vibaraka wa watu fulan kwa maslah ya watu wachache na familia zao
Back
Top Bottom