Recent content by GoldDhahabu

  1. GoldDhahabu

    Uhamiaji wamekusikieni

    Big up "Kamanda".
  2. GoldDhahabu

    Uhamiaji wamekusikieni

    Naamini kilichaondikwa kwenye hilo "tangazo" ni kweli! Hakuna tena longo longo kwenye utoaji wa PASI YA KUSAFIRIA! Kinachohitajika ni NIDA, BIRTH CERTIFICATE yako na ya MZAZI wako mmoja! Hongereni sana UHAMIAJI!
  3. GoldDhahabu

    Mabasi yapi yanaenda Harare kutoka Tanzania?

    Naomba nisaidiwe taarifa zifuatazo: 1. Mabasi yanatoa huduma ya usafiri kutoka Tanzania, na makisio ya nauli kama itawezekana. Nikipata namba zao za simu ni ni vizuri zaidi! 2. Safari yangu itaanzia Mwanza. Nitapaswa kwenda kupandia basi Dar Es Salaam au Tunduma? 3. Itachukua muda gani kutoka...
  4. GoldDhahabu

    TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    Ni ajali ya kawaida? Ni ajali ya kusababishwa kwa njia za kawaida? Ni uchawi kazini? Kabla ya kufikwa na umauti, alishasikika akieleza kuwa wenzake wasiomtakia mema walikuwa wamemsomea albadiri kwa lengo la kuiteketeza taasisi yake na yeye mwenyewe! Ajali iliyopelekea kifo chake inaweza kuwa...
  5. GoldDhahabu

    Nini maana ya self transfer kwenye tiketi ya ndege?

    Shukran sana mkuu🙏🙏🙏
  6. GoldDhahabu

    Nini maana ya self transfer kwenye tiketi ya ndege?

    Nisijifanye mjanja halafu nikaishia kuumbuka! Wazoefu mnisaidie tafadhali! Ikiwa unataka kufanya booking ya ticket ya ndege, ukikutana na neno SELF TRANSFER linamaanisha nini? Ni kama inavyosomeka hapo chini. Asanteni!!!
  7. GoldDhahabu

    Kumbukumbu na shukrani kwa ushirikiano

    Hizi pongezi zinathibitisha kuwa "wateja" wako waliridhishwa na huduma yako. Pongezi zao ni "tipu" zao kwako! Hongera sana mkuu! Kazi yako itaedelea kukusemea kwa miaka mingi! Ubarikiwe sana!!!
  8. GoldDhahabu

    Gari la milioni arobaini la masafa marefu

    Ushauri wako tafadhali! Linahitajika gari la masafa marefu linalomudu safari za mashambani. Route zake ni kama vile: 1. Mwanza - Arusha 2. Arusha - Njombe 3. Njombe - Mtwara 4. Mtwara - KASULU 5. Kasulu - Mwanza 6. N.k. Kama nilivyoandika, safari nyingi nibza mashambani, kwa hiyo ni muhimu...
  9. GoldDhahabu

    Elimu ya maarifa: Je, wajua?

    Apewe maua yake! Apewe maua yake!
  10. GoldDhahabu

    Elimu ya maarifa: Je, wajua?

    Alikuwa mwanadamu wa kawaida?
  11. GoldDhahabu

    Elimu ya maarifa: Je, wajua?

    🥺🥺🥺
  12. GoldDhahabu

    Elimu ya maarifa: Je, wajua?

    Ohoo! Wachina hawaishi vituko?
  13. GoldDhahabu

    Elimu ya maarifa: Je, wajua?

    Yayayayayayaaaa! Terrible!!!
  14. GoldDhahabu

    Elimu ya maarifa: Je, wajua?

    Ilishaeleza ila tu kuna watu wanajifanya "viziwi"
  15. GoldDhahabu

    Elimu ya maarifa: Je, wajua?

    "Shikamooni" Wajapan! Wenzenu bado wanapambana kutokomeza tatizo la ukosefu wa vyoo na maji safi!
Back
Top Bottom