Recent content by Gogovivu45

  1. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kamati ya Maadili yatolea ufafanuzi adhabu dhidi ya Lissu kumfungia kampeni. Yasema ameadhibiwa na Kamati ya Vyama 15 vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu

    Mara nyingi huwa napenda kumwangalia mtoa tamko machoni kipindi anapotoa tamko...huwa ukweli hujifichi machoni pa mtu
  2. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Rukwa na Katavi

    mkuu hivi unafahamu maana ya mikutano kweli??? mikutano 10 kwa siku?? ar you serious?? Ebu tuonyeshe ratiba ya nec ikionyesha mikutano 10 kwa siku.
  3. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Chama kinachotaka kuhudumia Watanzania, kinabagua na kuweka nongwa maendeleo yakipelekwa sehemu fulani ya nchi

    Ni YEYE aliyebeza ripoti ya makinikia akasema tutashitakiwa MIGA. ( Wewe unafahamu hatima ya tanzania na MIGA, ana anafahamu makubaliano yake? ulishawahi kuyasoma? au ndo yale ya mlamba kuwa watanzania wale nyasi lakini ndege ya raisi inunuliwe . baada ya uwaziri akala nyundo
  4. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali

    pole sana... wasema NDIYOOOOO unawafahamu.
  5. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu kama unajinasibu unanusa ufisadi, muulize Mbowe michango ya Wabunge iko wapi?

    Nenda takukuru wanamajibu maana walishafanyia kazi hizo tuhuma
  6. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali

    Wewe ulikuwa unayafahmu hayo? elimika ufahamu mambo yanayoendelea nchini kwako... hata marekana sera ziko hivyo kwa kueleza madudu ya mpinzani wako
  7. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Polepole ni wa kupuuzwa, eti CHADEMA haina hospitali, kwani Muhimbili ni ya CCM?

    wanaona watanzania ni wajinga sana
  8. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Askofu Niwemugizi ataka walioenguliwa wote warejeshwe kwenye kinyang’anyiro, Uchaguzi uwe wa Haki

    Nimekusikiliza kwa umakini sana baba Askofu. Moja ya neno kuu umesema" VIONGOZI WA SERIKALI WANASISITIZA AMANI NA WANAKWEPA NENO HAKI WAKATI MSINGI WA AMANI NI HAKI"
  9. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Nilishawaambia muengueni Tundu Lissu, hamkusikia. Oneni!

    Alichokisema Lissu nikuwa kwa Zanzibar achaguliwe Maalim Seif na kwa Rais wa muungano kichaguliwe chama chenye nguvu ya kuiondoa CCM madarakani.. na kwa pamoja wanzanzibar wameitikia kuwa ni CHADEMA.
  10. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Septemba 7, 2020

    Thamani ya wamachinga mwanza iliasisiwa na wenje mkuu
  11. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hoja ya CCM kujaza watu kwa kutumia wasanii

    Napishana na wananchi toka ccm kirumba wanasimuliana kuwa DIAMOND anaimba & kucheza sana....nimesikitika sana
  12. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Septemba 7, 2020

    MELI IPI ILIYONUNULIWA?>
  13. G

    JamiiForums Tanzania GE2020 Uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Kuelekea Septemba 7, 2020

    pole sana...huijui mwanza kabisaaaa... kisiasa
Back
Top Bottom