wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Akili ndogo hao,wapo kazini kupata mkate. Anahoji mambo ambayo hatakuwa na ufahamu tu hana.Sasa kajuaje kuhusu ufisadi wa JPM ili hali hakuwepo?
Akili ndogo hao,wapo kazini kupata mkate. Anahoji mambo ambayo hatakuwa na ufahamu tu hana.Sasa kajuaje kuhusu ufisadi wa JPM ili hali hakuwepo?
Ufisadi mkubwa upo katika serikali hii pengine kuliko nyingine zote ni wakati mzuri wa kudadavua kila kitu, Lissu endelea kutufungua macho.Ndugu Tundu Lissu mgombea wa CHADEMA unapokuwa jukwaani unaongea kwa jazba na kuonyesha kuwa wewe hutaki ufisadi na matumizi mabaya. Tena unaongea kwa kukakamaa kama unataka kumkaba mtu aliyekwapua mali ya umma...
Kwahiyo tuache kuhoji trillion1.5Wabunge zaidi ya sabini walikwapuliwa pesa zao. Na pesa zilikuwa kwa ajili ya uchaguzi
I am waiting.Utaona mziki wake soon
Yaonekana kwa roho kavu uliyonayo, wewe ndio huna raha zaidiHawezi kumuuliza kwakua kamzawadia nafasi ya kugombea Urais.
Yaani kama sio risasi basi Lisu asingegombea Urais.
Mbowe hana raha kabisa .
Nenda takukuru wanamajibu maana walishafanyia kazi hizo tuhumaNdugu Tundu Lissu mgombea wa CHADEMA unapokuwa jukwaani unaongea kwa jazba na kuonyesha kuwa wewe hutaki ufisadi na matumizi mabaya. Tena unaongea kwa kukakamaa kama unataka kumkaba mtu aliyekwapua mali ya umma.
Tundu Lissu, Wabunge wa chama chako walichangishwa pesa na pesa hizi zilikuwa kwa ajili ya uchaguzi. Lakini ilikuja kubainika kuwa pesa hizo zimekwapuliwa na wajanja kihuni.
Kama unajinasibu kusema unanusa ufisadi kwenye miradi inayotekelezwa na serikali ya CCM basi jikakamue umuulize Mbowe ziko wapi hizo bil 8.8? Hizi pesa zingekusaidia wewe na chama chako kunadi sera zenu kwa ufanisi.
Maana unatuchosha kila kukicha mara ndege za ATCL ni ufisadi, mara uwanja wa ndege Chato ni ufisadi mara Dotto James anajichotea pesa hazina. Basi kama wewe ni mpinga ufisadi kweli kweki anza na hizi ambazo zipo wazi zilikwapuliwa na chama chako ili utuhakikishie kweli wewe unapambana na ufisadi.
Wabunge zaidi ya sabini walikwapuliwa pesa zao. Na pesa zilikuwa kwa ajili ya uchaguzi
Upuuzi........na uchaguzi ndiyo huu, kila mchangiaji/aliyechangia anaona matunda take, kampeni zinawaka na ndiyo maana hata wewe ukamsikia Tundu Lissu!!
.....after all, si TAKUKURU wanachunguza? Kwanini usiwaulize hao wameona nini, UFISADI au MICHANGO ya utaratibu wa kawaida tu?
.....hebu sasa na wewe tuambie, UFISADI wa Ujenzi wa CHATO INTERNATIONAL AIRPORT na Ununuzi wa Dreamliners, Bombardier, ujenzi wa SGR, na Stiglers Gorge TAKUKURU ya nchi gani inauchunguza UFISADI huo?
Mbona mangu lahajahoji ile 1.5 trillion?Makamu mwenyekiti hatakiwi kuhoji ufisadi?
Ndugu Tundu Lissu mgombea wa CHADEMA unapokuwa jukwaani unaongea kwa jazba na kuonyesha kuwa wewe hutaki ufisadi na matumizi mabaya. Tena unaongea kwa kukakamaa kama unataka kumkaba mtu aliyekwapua mali ya umma.
Tundu Lissu, Wabunge wa chama chako walichangishwa pesa na pesa hizi zilikuwa kwa ajili ya uchaguzi. Lakini ilikuja kubainika kuwa pesa hizo zimekwapuliwa na wajanja kihuni.
Kama unajinasibu kusema unanusa ufisadi kwenye miradi inayotekelezwa na serikali ya CCM basi jikakamue umuulize Mbowe ziko wapi hizo bil 8.8? Hizi pesa zingekusaidia wewe na chama chako kunadi sera zenu kwa ufanisi.
Maana unatuchosha kila kukicha mara ndege za ATCL ni ufisadi, mara uwanja wa ndege Chato ni ufisadi mara Dotto James anajichotea pesa hazina. Basi kama wewe ni mpinga ufisadi kweli kweki anza na hizi ambazo zipo wazi zilikwapuliwa na chama chako ili utuhakikishie kweli wewe unapambana na ufisadi.
Wala swala hilo huwezi muuliza Mbowe maana kitakushuka.Lissu hana mamlaka ya kuhoji kwasababu Mbowe ndo mmiliki halali wa Chadema.
hilo hawezikujibu chizi huyo yeye kazi yake kuangalkia ya ccm tuNdugu Tundu Lissu mgombea wa CHADEMA unapokuwa jukwaani unaongea kwa jazba na kuonyesha kuwa wewe hutaki ufisadi na matumizi mabaya. Tena unaongea kwa kukakamaa kama unataka kumkaba mtu aliyekwapua mali ya umma.
Tundu Lissu, Wabunge wa chama chako walichangishwa pesa na pesa hizi zilikuwa kwa ajili ya uchaguzi. Lakini ilikuja kubainika kuwa pesa hizo zimekwapuliwa na wajanja kihuni.
Kama unajinasibu kusema unanusa ufisadi kwenye miradi inayotekelezwa na serikali ya CCM basi jikakamue umuulize Mbowe ziko wapi hizo bil 8.8? Hizi pesa zingekusaidia wewe na chama chako kunadi sera zenu kwa ufanisi.
Maana unatuchosha kila kukicha mara ndege za ATCL ni ufisadi, mara uwanja wa ndege Chato ni ufisadi mara Dotto James anajichotea pesa hazina. Basi kama wewe ni mpinga ufisadi kweli kweki anza na hizi ambazo zipo wazi zilikwapuliwa na chama chako ili utuhakikishie kweli wewe unapambana na ufisadi.
ndiyo0 maana cag alitolewa maana alikuwa cdm dam hawezi kuwageuka ukiwa mwizi huwezi kuwageuka wezi wenzioKwani taarifa ya CAG inasemaje au hukusoma hiyo taarifa na hujuwi kama wamepewa hati safi. Tumia vizuri akili yako kufikiria mambo ya maana siyo kulishwa matango na wabunge waliokubali kujiuza.
Unaonekana unaujua sana huo mchezo,hongeraHawez kujitia kidole alafu akanusa uyo kibaraka