Ndugu zangu tusipotoshe ukweli hapa jukwaani.
TCAA ilitoa tangazo hili toka mwezi wa sita baada ya mheshimiwa mmoja kutua pale Sheikh Amri Abeid na chopa akitokea kanda ya ziwa ili kuhudhuria ufunguzi wa mtangaza nia fulani. Sasa kama kwa bahati mbaya hukuliona hili tangazo wakati ule basi...
Bro, nimepaua recently nyumba ya 16.2 x 14.9 hapa DSM, SAOHILL treated timber ni gharama but ndipo nilipokwenda just for assurance, 4 x 2 nilichukua 180, 2 x 2 nilikosa but fundi alitaka 90 so nikaongeza 4x 2 mbao 50. Bati niiweka msouth IT 4 na niichukua 135 pcs but nadhani fundi alitaka...
hatari hii, usimpige chini huyo mkeo bro, jitahidi kuirudisha ndoa yenu kwenye mstari unaofaa. Siamini kama wewe hujawahi kutoka nje ya ndoa na hutawahi kutoka nje ya ndooa.
yeap bro! take ur time, calm down and see how it pans out. Never try anything silly coz u gonna end up regretting. You and I have seen worse than that buddy.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.