Naomba wale wazoefu wa masuala ya mapenzi wanisaidie kwa hili,
Sifa zipi zimekuwa za msingi kwa mwanamke au mwanaume anayeingia maisha ya ndoa?
1. Mimi najua moja tu upendo wa kweli zingine naomba mnitajie.
2. .............,..................
Wakuu,
Mke hanitaki nifanyeje?
Tayari tumejaaliwa watoto wawili, ingawa husema kuwa watoto siyo wa kwangu. Hua ananiletea kiburi na jeuri na hata hataki kufanya usafi wa mafazi yangu.
Naombeni ushauri.
Ayaa! sikukuu nyingine hiyo inakuja pasaka. PASAKA. YA MWAKA HUU WAMEKUJA KIVINGINE KABISA, WAREMBO PESA ZAO WAMEGEUZA MITAJI YA MADUKANI WAO NI KUJILIPUA ILI WABABA NA WAKAKA MKAZMIKE KWAO KWA VYAKULA NA VYWAJI. JUST WARNING MSIACHE NDOA ZENU MKAZMKA OHOO MTAWAKAA.
Mtoto kasikia mama usiku akimwambia baba mi natakaa, nipee tena, nipe nilambe, baba aka mwambia fungua zp. Mama akasema tamu, du mtoto kakurupuka akamwambia baba yake na mi nataka ckajua pipi. Wote hoi.
1.furaha ya ndoa watoto,raha ya uchumba mawasiliano ila sumu ya mapenzi ni usaliti.
2. Kushirikiana katika uzalishaji mali na shughuli zingine za maendeleo ni misingi ya kijamaa lakini kushirikiana ktk mapenz na ndoa ni uzinzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.