Picha za video za hivi karibuni zilizokuwa zikionesha jinsi wanahabari wa kimarekani bwana James Foley pamoja na Steven sotloff wakikatwa vichwa na magaidi wa ISIS inanikumbusha stori ambayo ilitokea nchini Lebanon mnamo mwaka 1985.
Mnamo mwezi wa tisa, tarehe 30, mwaka 1985, kundi la watu...
Moja ya stori zilizotokea miaka ya 2014-2015 ni ya kijana wa kiarabu raia wa Uingereza ambaye alikuja kuwa tishio la dunia baaada ya kujiunga na kikundi cha ugaidi kinachojulikana kama Islamic State.
Kijana huyu alikuwa anajulikana kwa Jina la Jihad John, huku akiwa maarufu sana kwa kuonekana...
"Siku ya tarehe isiyojulikana, lakini inaweza kuwa tarehe 21-02-2011 mpaka tarehe 24-02-2011 , tarehe kamili haifamiki na mahakama ya Grand Jurry katika wilaya ya Georgia and sehemu nyingine, Mtuhumiwa HAMZA BENDELLADJ aka Bx1 alisaidiana na kusababisha na wenzake wanaojulikana na wasiojulikana...
PABLO NI NANI?
Katika milima inayotazamana na mji wa Medellín nchini Colombia, yapo majengo ya kifahari kabisa ndani ya milima hiyo ambayo kwa sasa majengo haya yanatumika kama nyumba ya watawa wa Kanisa Katoliki lakini kabla ya watawa hawa kupewa majengo haya mwaka 2007, majengo haya yalikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.