Recent content by godogodo

  1. G

    'Nimeshikwa, nashindwa kujinasua, hebu nisaidieni'

    Swala la kuoa mke wa pili unajidanganya, unatakiwa uwe muadilifu kweli kweli vinginevyo mzee umekwisha. Muda si mrefu utatembelea ndala, kuna wenzako walijidanganya kwenye nafsi zao huku wakisingizia dini lakini chamoto wamekiona. Someni dini vizuri mtaelewa maana ya mke zaidi ya mmoja.
  2. G

    Nafasi ya kaz yenye mshahara mnono

    Unapenda raha eeh
Back
Top Bottom