Swala la kuoa mke wa pili unajidanganya, unatakiwa uwe muadilifu kweli kweli vinginevyo mzee umekwisha. Muda si mrefu utatembelea ndala, kuna wenzako walijidanganya kwenye nafsi zao huku wakisingizia dini lakini chamoto wamekiona. Someni dini vizuri mtaelewa maana ya mke zaidi ya mmoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.