Habari ndgu zangu niliumia mazoezini December 2022 goti likavimba baadae nikaenda hospital nikafanya vipimo kama x ray,MRI ya goti ikabainika nimepata impacted Trabecular fracture on medial tibia condyle nikatibitiwa Kwa kupewa dawa kama Diclofenac gel, Cartiflex na steroids injection uvimbe...
Aise tuko tofauti sana mm navutiwa sana na demu mwenye sura ya baba yaani napenda awe mweusi tii mrefu na awe na tako la wastani,huwa sivutiwi sana na demu mweupe na mrembo sana hyo sio type yangu kabisa.Mimi napenda black materials napenda gari nyeusi,bati nyeusi,demu mweusi, t-shirt...
Kk ni zipi hizo njia nyingne tofauti na bangi nayotaka kuanza kutumia Kwa sababu dawa za hospital nimetumia Kila aina hazitibu tatizo zinaleta dependency tu namm shida yangu ni kupata usingizi tu afu nipambane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.