Recent content by GodlistenJohnsonMinja

  1. GodlistenJohnsonMinja

    Madaktari wa JF nisaidieni sipati choo

    Je unatumia pombekali sana?
  2. GodlistenJohnsonMinja

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Ndivyo ilivyo Rafiki yangu hatuwezi kumwelezea Mungu kwa uelewaje wetu mdogo,na atuwezi taka atudhibitishie kwakujitokeza mbele yetu ili uamini yupo..Kumbuka wewe ni wa hali yachini sana kulingana na ukuuwake ..Kujidhihirisha kwake kunaonekana kutokana na uumbaji.
  3. GodlistenJohnsonMinja

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Nami nitakuuliza ..Mtoto unae mzaa sasa ata akikua akajitambua anaweza kujua maisha yako ya nyuma kwa hualisia.
  4. GodlistenJohnsonMinja

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Kama ilivyo mtoto wako hawezi jua maisha yako ya miaka ya nyuma sana,ndivyo ilivyo kwa Mungu.Kamwe huwezi mwazia Muumba wa vyote kwa ufahamu wako mdogo..
  5. GodlistenJohnsonMinja

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Yan unataka kutuaminisha Uumbaji ni mageuzi...😂😂 kama kuna vitu ambavyo sio Nature na Energy kuna aliye vitengeneza basi hata Ulimwengu yupo Muumba wa vyote...
  6. GodlistenJohnsonMinja

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Wewe unaamini katika mageuzi sivyo?Iyo nature na Energy ilijitengeneza yenyewe tu...Haiingii akilini hata kidogo.
  7. GodlistenJohnsonMinja

    Mungu Anampenda Shetani Zaidi ya Viumbe Vyake Vyote

    😂😂😂😂 Hapana kuhasi sio hivyo ila ongera kwa kujaribu.Mtu anaye hasi nimtu ambaye tayari yuko katika tengenezo fulani anatoka na kwenda kutoa siriza tengenezo hilo akiwa na nia ya kupindua au kutaka cheo .Vyovyote vile ila akiwa na uwitaji fulani...Shetani Yeye alitaka nini nakuacha hapo ukatafute.
  8. GodlistenJohnsonMinja

    Mungu Anampenda Shetani Zaidi ya Viumbe Vyake Vyote

    Aisee nakusikitikia sana sio makosa yako lakini ni mfumo wa mambo..mda utafika HAKIKA HAKIKA HAKIKA utamkiri kwakinywa chako..no yangu hii 0682447099 mda ukifika usiache kunifahamisha.
  9. GodlistenJohnsonMinja

    Mungu Anampenda Shetani Zaidi ya Viumbe Vyake Vyote

    Pole bro ..Sasa unazani maswali unayojiuliza majibu yake utapata wapi😂😂🤔🤔🤔
  10. GodlistenJohnsonMinja

    Mungu Anampenda Shetani Zaidi ya Viumbe Vyake Vyote

    Neno lake ni uthibitisho tosha..BIBLIA
  11. GodlistenJohnsonMinja

    Mungu Anampenda Shetani Zaidi ya Viumbe Vyake Vyote

    Ooooh pole ni kweli inaumiza ila Sio Mungu husababisha haya yote...Mathayo 24:6-7 ukipata mda kasome Yesu alishaongelea haya..
  12. GodlistenJohnsonMinja

    Mungu Anampenda Shetani Zaidi ya Viumbe Vyake Vyote

    Uuuuu hii imekuingia na imeuma mbona unahasira za gafla😂😂😂😂😂😂😂
  13. GodlistenJohnsonMinja

    Mungu Anampenda Shetani Zaidi ya Viumbe Vyake Vyote

    Sawa..Icho ulichokalia darasan ndo kina maana sio😂😂😂😂 Bila shaka nyie ndo wale mliodanganywa kuwa binadam alitoka kwa nyani..
  14. GodlistenJohnsonMinja

    Mungu Anampenda Shetani Zaidi ya Viumbe Vyake Vyote

    Nafatiliaga hoja zako unaakili fupi sana ..Ila sishangai kwamaana imeandikwa Mjinga huamini kila neno ila mwerevu hutafakari kila hatua..Methali 14:15
  15. GodlistenJohnsonMinja

    Mungu Anampenda Shetani Zaidi ya Viumbe Vyake Vyote

    Dini za uwongo zimetumia nguvu nyingi sana na zinamvutano mkubwa,kuficha Ile kweli ..Ila jua Hili Nuru inaangaza gizani nalo giza halikuishinda...ila lakuweka akilini niili UTAWAJUA KWA MAFUNDISHO YAO
Back
Top Bottom